Sangarara
JF-Expert Member
- Sep 29, 2011
- 13,100
- 5,649
Kwanza napenda kuwapongeza na kisha niwape moyo, Kuoa ndio ishara ya dhati ya uanaume na pili ndio sifa halisi ya mwanamme mpiganaji, kuoa kuna kwenda na responsibilities nyingi sana, tena nyingi huwa hazionekani kabla ya kuoa, moja wapo ni kuwa the bread winner of the family, umlishe,umvishe, mkeo na watoto, ndugu na jamaa zake sio kazi ya mchezo ni moja ya responsibility kubwa sana za kiuchumi kwa wanaume.
Bila kuwachosha, iweje uhofie mke wako kwenda nje ya ndoa, nini kina kupa hofu, tafadhali bwana, kitu cha msingi cha kukumbuka ni kwamba mkeo hakufata kwako chakula,nguo,gari,nyumba wala nini, kaja apo kuchapwa nao, tuacheni uzembe, tupige kazi za uhakika nyumbani hautasikia ujinga ujinga wa mafala kumsumbua mkeo. Ni hilo tu, naomba kila aliyeoa leo apige bao japo tatu.
Nawatakia maisha mema katika ndoa zenu.
Bila kuwachosha, iweje uhofie mke wako kwenda nje ya ndoa, nini kina kupa hofu, tafadhali bwana, kitu cha msingi cha kukumbuka ni kwamba mkeo hakufata kwako chakula,nguo,gari,nyumba wala nini, kaja apo kuchapwa nao, tuacheni uzembe, tupige kazi za uhakika nyumbani hautasikia ujinga ujinga wa mafala kumsumbua mkeo. Ni hilo tu, naomba kila aliyeoa leo apige bao japo tatu.
Nawatakia maisha mema katika ndoa zenu.