Destruction
JF-Expert Member
- Feb 3, 2020
- 284
- 508
Nimekua najiuliza mara nyingi Kwanini ushauri wa wat weng wenye hela ni mzuri tofuat na wasio na hela,,,hii imekaaje wadawu
Nilipew tu analysis ya jmbo furan nikawa mdomo waz, Lkn masikin wngi waliishia kusem siwez kufany oohh mara nacheza, Mara bro sijasema.. Lkn weng nliowafata wenye kipato walikua tofaut anatoa wazo we hukufikiriaMfano kama wewe ulishauriwa nini
Okay,, vizuri kama ni hivyoNilipew tu analysis ya jmbo furan nikawa mdomo waz, Lkn masikin wngi waliishia kusem siwez kufany oohh mara nacheza, Mara bro sijasema.. Lkn weng nliowafata wenye kipato walikua tofaut anatoa wazo we hukufikiria