Rafiki yangu alikuwa na mpenzi wake kipindi anasoma secondari...alimpenda sana!ijapokuwa ilikuwa ni distance love ikifika likizo lakini rafiki yangu hakuthubutu kumsaliti mpenzi wake!aliamini wanapendana kweli though msichana alimzidi mwanaume mwaka!alijua tofauti hiyo baada ya kuwa in love tayari!na kwakuwa alimpenda KWELI tofauti hiyo aliweka pembeni na kumheshimu mpenzi wake huyo!kumjali na kumtii kwa kila alichokisema...hakuchelewa kusema samahani kila alipohisi amekosea....hakuwahi kuwa na mpenzi kabla ya hapo hivyo aliamini huyo ndio true love wake!baada ya kumaliza sekondari waingie chuo...mambo yakabadilika!mpenzi wake huyo akabadika na kupunguza mawasiliano na huyu msichana..dada ndo akawa wa kupiga simu,wakutxt na asipofanya hivyo basi siku zinapita hawajawasiliana!
Siku moja jioni...yule mvulana akamtxt huyo rafiki yangu kuwa anaomba wachati...dada akafurahi lakini furaha yake ilifika kikomo baada ya mpenzi wake kumwambia hakuwa true na penzi lake!......alipomuuliza sababu,akasema amerudiana na mpenzi wake ambaye waliachana kabla ya kukutana na huyo rafiki yangu!ila kama atataka wawe wapenzi tu ila sio zaidi ya hapo yaan NO FUTURE!sijui ni waambieje...hivi sasa rafiki yangu amevunjika moyo na haamini mwanaume yeyote...muda mwingi anawaza na kulia!binafsi nimemshauri imeshindikana...nimeamua kuliwakilisha kwenu waheshimiwa ili tumsaidie huyu binti....bado anasafari kubwa kimasomo!naomba tujadili hili.asanteni.
Siku moja jioni...yule mvulana akamtxt huyo rafiki yangu kuwa anaomba wachati...dada akafurahi lakini furaha yake ilifika kikomo baada ya mpenzi wake kumwambia hakuwa true na penzi lake!......alipomuuliza sababu,akasema amerudiana na mpenzi wake ambaye waliachana kabla ya kukutana na huyo rafiki yangu!ila kama atataka wawe wapenzi tu ila sio zaidi ya hapo yaan NO FUTURE!sijui ni waambieje...hivi sasa rafiki yangu amevunjika moyo na haamini mwanaume yeyote...muda mwingi anawaza na kulia!binafsi nimemshauri imeshindikana...nimeamua kuliwakilisha kwenu waheshimiwa ili tumsaidie huyu binti....bado anasafari kubwa kimasomo!naomba tujadili hili.asanteni.