Innocent akiuwawa hakutakuwa na taitizo Wal zambi yeyote ile yaan nn kumsumbua mtot wa watu kill them bila kuacha ushaidiBLACK MAIL solution hapo ni kumuua huyo innocent mana atarudi tena
Kwamba hawa wa 35+ hawana huo ujinga au sijaelewa?Wapenzi kuonyeshana viungo vyao ni kawaida; ila inahitaji ustahimilivu mkubwa pale mnapoachana; muwe mnadate na watu wa miaka 35+
Ni wastahimilivu, wanajua mipaka ya uhusianoKwamba hawa wa 35+ hawana huo ujinga au sijaelewa?
Umewahi waza ikiwa wewe ndio ungekua umepigwa hizo picha? Ungejihisi vipi? Tuwe na ubinadamu basi.Nina pc za ex wangu na nilimpiga bila yeye kujua baada ya kuona kwamba yeye ni mkorofi nilizipiga kwaajili ya tahadhari
Jamani acheni haya mambo ya kuhifadhi mapicha ya ex girlfriend siyo nzuri. ... inauma sama mtu kukufanyia unyama wa kiwango hikiPumbav sana hili jamaa, kwanza unasikia raha gani kusex na mwanamke ambaye hana feeling na wewe. Mm ninapicha za girlfriend wangu ila siwezi fanya ujinga huo hata anikosee kitu gani sana tu nitazifuta kwenye simu then inakuwa over
Naogopa jamuhuri kiongoziWee jamaa acha uchoyo bwana sambaza upendo
Sheria zipo lakini pamoja na Dunia kuwa kiganjani Lilian bado anajirahisisha tena kwa kuliwa bila ridhaa yake.Hello wanajamvi,
Natumai mko poa kabisa na mnaendelea vema na weekend!! Kwa wale mashabiki wote [simba na yanga] nawatakia ushindi lakini sipendi yoyote afungwe for the sake ya furaha ya marafiki na jamaa zangu waliogawanyika katika kambi hizo mbili na wote nawapenda.
Back to the topic;
Leo nimesimuliwa story kutoka kwa rafiki yetu moja ambayo imeniuma sana, kama jamii nikahisi nina jukumu la kuwaelimisha na wengine huenda wakajifunza. Hata kama hatajifunza hata moja angalau nimefikisha kama mwanajamii.
Nina rafiki zangu wawili ambao tunapendana sana na urafiki wetu umedumu toka O LEVEL mpaka sasa regardless kuwa A level tulisoma shule TOFAUTI lakini Chuo tukakutana different courses...
Moja ya Rafiki zangu [naomba kumuita LILIAN siyo jina lake halisi] alikuwa na boyfriend wake ambaye kulingana na maelezo take walipendana sana. Uhusiano wao ulianza akiwa advance na ukadumu kwa kipindi chote tulipokuwa Chuo ingawa walisoma chuo TOFAUTI.
Baada ya kumaliza chuo mahusiano yao yaliyumba na hatimaye yalivunjika na kila moja akaendelea na maisha yake...
Baada ya muda kupita LILIAN akapata mchumba, mahari yakatolewa na taratibu za ndoa zikaendelea...
Kumbe kipindi chote haya yanafanyika aliyekuwa Boyfriend wake Tumuite Innocent alikuwa anafuatilia na kumbe hakuwahi kuwa happy kumwona aliyekuwa girlfriend wake anaolewa...
Wakati mambo yakiwa ukingoni kufunga ndoa Innocent akamtafuta LILIAN na kumwomba wakutane waongee... unfortunately Lilian akakataa na kumweleza yaliyopita baina yao yamepita hivyo kila mmoja anapaswa kuendelea na maisha yake...
Zikapita kama siku mbili hivi akiwa hana hili wala lile my poor friend Lilian akashangaa anapokea meseji WHATSAPP kutoka kwa Innocent ikiwa na maelezo marefu lakini pia ikiwa na picha... Kufungua zile picha akajikuta akijiona Akiwa uchi wa Mnyama kila kitu kikiwa hadharani...
Moja ya masharti ya Innocent ni kuwa ikiwa anataka kuendelea na michakato yake ya harusi peaceful basi amkubalie na aandae mazingira WASEX vinginevyo kila kitu kitaenda public....
After a much panic, contemplation asijue nini cha kufanya na hofu ya kupoteza ampendaye, ndoa na aibu akajikuta akikubali MASIKINI [IMENIUMA SANA]...
Lilian AMESEX TENA BILA HATA KINGA roughly 8 days kabla ya ndoa yake.... asijue USALAMA wa afya yake kwani amekutana na mtu ambaye ameachana Naye miaka kadhaa na hajui hali yake....
Rafiki yangu ameingia kwenye ndoa akiwa na maumivu lakini akiwa hana uhakika kama Kweli Innocent amefuta picha na video zake zote kama walivyokubaliana au kuna siku tena atazitumia dhidi yake...
Anatamani angemiliki silaha au angekuwa na fedha atafute mafia akamalize kazi lakini YOTE hayo Yapo nje ya uwezo wake..
Ndugu zangu NEVER EVER SHARE YOUR NUDE PHOTOS AU VIDEOS KWA GHARAMA YOYOTE... HASA KWA MAHUSIANO HAYA YA NJE AU KABLA YA NDOA...
Huwezi jua ni kwa kiwango gani zitahifadhiwa na kesho kutumika dhidi yako, zikakufanya mtumwa na kukutia wasiwasi na mashaka!!!
Najiuliza siku Mume wake akiijua hii story ni vipi itakuwa ndoa ya rafiki yangu LILIAN!!!
POLE SANA LILIAN, kwa hakika uliifanya siri na hukutamani aijue yoyote lakini hakuna siri ya wawili na nisamehe nimeitoa hapa angalau kuwafunza na kuwanusuru wengine KWANI NINA HAKIKA KAMA UNGEPEWA NAFASI YA KUANZA UPYA USINGEFANYA YOTE ULIYOYAFANYA AWALI.
MUNGU AKUJAALIE NDOA YENYE HERI NA FANAKA, MPENDE SHEMEJI YANGU NA ISHI KWA FURAHA KWA MUNGU MUUMBA WA MBINGU NA DUNIA YUPO KAMOJA NA WEWE.
Kaka zangu nawashauri ziheshimuni nyoyo za wale waliojitoa kwa ajili yenu
Ni hatari sana!!!Sheria zipo lakini pamoja na Dunia kuwa kiganjani Lilian bado anajirahisisha tena kwa kuliwa bila ridhaa yake.
Kisa kwa niaba ya uchu wa ndoa, na kwa sababu ya watu wasiopenda furaha yake anaamua kuwaridhisha aliwe na mtu mmoja Innocent mwenye chuki "dead bustard" Innocent.
Angeamua kufuata hatua ili iwe somo kwa wengine hapo sidhani kama kuna cha kujifunza. Maana "mwanadamu akiamua lake huwezi kumbadilisha".
Muda huu kuna watu wanatumiana picha za utupu kwa raha zao na hawajali.
Siwezi kuelezea sana hapa ila huo ndiyo ungekuwa ushindi wanguUmewahi waza ikiwa wewe ndio ungekua umepigwa hizo picha? Ungejihisi vipi? Tuwe na ubinadamu basi.
Ni hatari sana!!!
Kbsa amcheki polic makin yule kjn hatarudiaAnayekupenda hatokupiga picha za uchi
Na ukiwa na akili timamu hutopiga.picha za uchi
Halafu lili anajua polisi? Au hana connection mbona huyo kidume akiki ingemkaa sawa!!!
I wish he could have been killed ili dunia ibaki mahali salamaMaria,
Tusiwe watu wa kujionea huruma kwa maumivu ya muda mfupi ambayo yatatuacha tukiwa jasiri siku zote. "Dead bustard" anaona kashinda kwa huruma ya Lilian. Fikiri Lilian angeamua kuweka wazi kwa familia yake na watu wa karinu wanaomuamini. Unafikiri huyo mwamba angekuwa wapi na hali gani ? Ni lazima tukubali kuna mambo yakishatokea yametokea. Njia zipo za kumsimamisha huyo mwamba na akawa na heshima,adabu,utii na upendo.