Song of Solomon
JF-Expert Member
- Aug 5, 2021
- 2,733
- 5,490
Ngoja niseme mapema yakija kuvunda niwakumbushe.
Kijana wangu Paulo, mimi ni mmoja ninaoamini una uwezo mkubwa wa uongozi na unaweza kufika mbali. Nilishaandika huko nyuma sifa zako.
Mimi sipendi mtu. Napenda matokeo ya kazi yake na tabia yake.
Naona walewale waliokuponza wewe na mwenzio Sabaya ndio haohao wanakumwagia tena misifa ya kijinga. Ukilewa tena utaanguka tena.
Paulo uliinuliwa na JPM. Lakini alipokushauri uache tamaa ubaki na u RC ukampuuza. Ukaanguka pwaa. Lakini mungu bado anakupenda. Mama kakupandisha tena. Na ni kusifie hili: baba alipokuangusha ulitulia tulii. Hii imekusaidia sana kurudi juu. Walioanguka wakafanya vituko bado wako chini.
Paulo, nafasi aliyokupa mama inakufaa sana. Inaendana na wewe. Lakini punguza spidi. Usisikilize hawa wajinga. Ukianguka tena wao na hamsini zao.
Ngoja kijana nikwambie jambo: JPM sio wewe. Style ya JPM iliendana na yeye. Ukumbuke yeye alikuwa top boss. The buck stopped on his table. The buck does not stop on yours!
Waziri Mkuu, Makamu wa Raisi, Mawaziri, wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya, wakurugenzi, n.k. hawawajibiki kwako. Usihadaike ukiwapigia simu wanapokea, ukiwaita wanakuja mbio, ukiwaambia simama wanasimama! Katika siasa kuna comedy of survival!.
Ungeweza kufungua vifua vyao ungestajabu! Ungesikia sauti "huyu naye"!
Najua wachache sana wanaoweza kukupa huu ushauri. Binadamu wengi wanafiki au wanatakia wenzao anguko.
JPM alikuwa na uwezo wa kumfuta kazi yoyote yule. Wewe huna. JPM alikuwa ndiye highest accounting officer. Akiagiza apewe bilioni akagawe barabarani hakukuwa wa kusema no! Wewe utagawa hela zipi? Za ccm?
Paulo hakika ukiendelea hivi utaanguka. Kumbuka ulipokuwa Dar ulivyopendwa mpaka na askari? Ukiwaambia mguuuu sawaaa wanatekeleza! Lilipokuja anguko uliwaona?
Nenda kwa hekima Paulo utafika mbali. Unaweza kutatua kero za wananchi kwa kuwa na ufuatiliaji mzuri. Najua wewe ni mfuatiliaji mzuri sana. Simba mwenye kelele huambulia 5G.
Ni hayo tu kijana wangu. Kule kwenye group la viongozi umeona comment zao kuhusu huu ushauri wangu.
Sikiliza wenye busara!
Kijana wangu Paulo, mimi ni mmoja ninaoamini una uwezo mkubwa wa uongozi na unaweza kufika mbali. Nilishaandika huko nyuma sifa zako.
Mimi sipendi mtu. Napenda matokeo ya kazi yake na tabia yake.
Naona walewale waliokuponza wewe na mwenzio Sabaya ndio haohao wanakumwagia tena misifa ya kijinga. Ukilewa tena utaanguka tena.
Paulo uliinuliwa na JPM. Lakini alipokushauri uache tamaa ubaki na u RC ukampuuza. Ukaanguka pwaa. Lakini mungu bado anakupenda. Mama kakupandisha tena. Na ni kusifie hili: baba alipokuangusha ulitulia tulii. Hii imekusaidia sana kurudi juu. Walioanguka wakafanya vituko bado wako chini.
Paulo, nafasi aliyokupa mama inakufaa sana. Inaendana na wewe. Lakini punguza spidi. Usisikilize hawa wajinga. Ukianguka tena wao na hamsini zao.
Ngoja kijana nikwambie jambo: JPM sio wewe. Style ya JPM iliendana na yeye. Ukumbuke yeye alikuwa top boss. The buck stopped on his table. The buck does not stop on yours!
Waziri Mkuu, Makamu wa Raisi, Mawaziri, wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya, wakurugenzi, n.k. hawawajibiki kwako. Usihadaike ukiwapigia simu wanapokea, ukiwaita wanakuja mbio, ukiwaambia simama wanasimama! Katika siasa kuna comedy of survival!.
Ungeweza kufungua vifua vyao ungestajabu! Ungesikia sauti "huyu naye"!
Najua wachache sana wanaoweza kukupa huu ushauri. Binadamu wengi wanafiki au wanatakia wenzao anguko.
JPM alikuwa na uwezo wa kumfuta kazi yoyote yule. Wewe huna. JPM alikuwa ndiye highest accounting officer. Akiagiza apewe bilioni akagawe barabarani hakukuwa wa kusema no! Wewe utagawa hela zipi? Za ccm?
Paulo hakika ukiendelea hivi utaanguka. Kumbuka ulipokuwa Dar ulivyopendwa mpaka na askari? Ukiwaambia mguuuu sawaaa wanatekeleza! Lilipokuja anguko uliwaona?
Nenda kwa hekima Paulo utafika mbali. Unaweza kutatua kero za wananchi kwa kuwa na ufuatiliaji mzuri. Najua wewe ni mfuatiliaji mzuri sana. Simba mwenye kelele huambulia 5G.
Ni hayo tu kijana wangu. Kule kwenye group la viongozi umeona comment zao kuhusu huu ushauri wangu.
Sikiliza wenye busara!