Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
Asante kwa ushauri naamini wataupata lakini kifupi M4C kwasasa inapita kiala kata na kuko kusini kuna sehemu walikuwa wanapita mpaka kijiji kwa kijiji naamini mpaka kufika 2015 yatakuwa wametimiza siku fika tu kuhakikasha wana kuwa na viongozi kuanzia ngazi za vijiji...Kuhusu kuambiwa watawafanyia nini mbona wanaambiwa au wewe ni gamba