USTAADHI
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 1,516
- 136
tatizo sio kuwashawishi waislam ili wakipende chadema, tatizo ni kwamba hiki ni chama chenye sera za kidini na kikabila. Na hii imetokana na na kuwa na uchu mkali wa kuingia ikulu haraka haraka, hivyo kulitumia kanisa ili chati yao ipande kwa haraka sana. Hii inawagharimu sana
hata mbeya ambao walikishabikia na kupata wabunge kupitia chama hicho, wakagombana kwenye ugawaji wa viti maalum. Asilimia 80 ya viti maalum vilikwenda moshi na arusha. Sasa unatarajia kuwaeleza nini wananchi ikiwa katibu mkuu wa chadema alishasema kama hawataki wahame chama. Maana udikiteta uliopo hakuna hata majadiliano.
Ikiwa mgombea wao wa urais katika uchaguzi mkuu 2010 alipoulizwa kuhusu tuhuma za kuhusishwa chama chake na udini, alishindwa kujibu au kuwashawishi wananchi kuwa hizo shutuma ni za uongo. Sasa ndugu yangu unatarajia huyu mtoa hoja atawezaje kuwashawishi waislam kuwa chadema ni poa, haina udini.
Jisafisheni kwanza ndani ya chama chenu kabla waislam wanaowapenda hawajawapigia debe.
wabunge wa viti maalum chadema ni 25 , 80% ya 25 ni 20 je unaweza kuwataja hao wabunge 20 wanaotoka arusha na mosh?
Kuhusu udini, kati ya cdm na ccm ni chama gani cha kidni? Mfano tamko la bakwata igunga lililenga chama gani kupiwa kura na waislam hamieni facebook ndio eneo la hoja mfu