patriq
Senior Member
- Apr 17, 2012
- 145
- 53
Baada ya hakimu mzuna kusoma hukumu iloyompa ushindi tundu lisu na kumhalalisha kuwa mbunge halali wa singida mashariki, mlalamikaji wa kwanza ndugu shabani selema ambaye ni "wa kwetu" namshauri ajiunge na kambi ya cdm ili tulete maendeleo endelevu katika jimbo letu.
Ni huyu huyu shabani ambaye nilimshauri last month na hata last week kwamba aachane na kesi hii amtose njau na kujiunga na m4c akanigomea, leo ameumbuka. Hata hivyo naomba wana cdm na wana makiungu wote tumshauri mwanakijiji mwenzetu ili kesho tundu atakapokuja kuhutubia pale viwanja vya stendi ya zamani ya mabasi, shabani ajivue gamba, atubu dhambi zake za ugamba, na apokee ubatizo mpya wa cdm.
Vinginevyo shebe utaendelea kupoteza umaarufu wako ukiendelea kumsikiliza mh aliyeshindwa na rafiki yako hanje. Nakushauri hamia huku.... Ushauri wa bure.
Ni huyu huyu shabani ambaye nilimshauri last month na hata last week kwamba aachane na kesi hii amtose njau na kujiunga na m4c akanigomea, leo ameumbuka. Hata hivyo naomba wana cdm na wana makiungu wote tumshauri mwanakijiji mwenzetu ili kesho tundu atakapokuja kuhutubia pale viwanja vya stendi ya zamani ya mabasi, shabani ajivue gamba, atubu dhambi zake za ugamba, na apokee ubatizo mpya wa cdm.
Vinginevyo shebe utaendelea kupoteza umaarufu wako ukiendelea kumsikiliza mh aliyeshindwa na rafiki yako hanje. Nakushauri hamia huku.... Ushauri wa bure.