Ushauri: Vyama vya Upinzani vifutwe, kibaki CCM pekee kama chama dola

Ukweli ni kwamba nyinyi wenyewe upinzani hamkujipanga kwa mbinu.

Tatizo mnafikiri kila mmoja ana akili mgando na hayo ndio matokea yake.

Kitendo alichokifanya Mheshimiwa Lowasa kwa mtu yoyote/yeyote mwenye akili timamu hata kama angekuwa mpenzi wa dhati wa Lowasa kipindi alipokuwa CCM, kwa kweli hawezi kumfuata Mheshimiwa Lowasa kwa vile ameingia Chama kipya.

Imeonesha ni kiasi gani Mheshimiwa Lowasa alikuwa na uchu wa madaraka kupita maelezo
 
Si kushangazwa tu bali nasikitishwa pia kuona hata elimu tunayopewa watanzania wengi inatuandaa kuwa watwana kifikra na maamuzi ndio maana utaona hata wanao dhani kuwa ni wasomi bado wanashindwa kung'amua na kujiondoa katika mfumo kandamizi isipokuwa kwa wenye utashi, uthubutu na kujibidiisha kutafuta haki kwa manufaa ya wengi...
Tunajiandaa kwa nguvu zaidi katika namna zote na tutaondoa mfumo huu wenye manufaa kwa wachache..
 
Ukweli ni kwamba nyinyi wenyewe upinzani hamkujipanga kwa mbinu.

Tatizo mnafikiri kila mmoja ana akili mgando na hayo ndio matokea yake.

Kitendo alichokifanya Mheshimiwa Lowasa kwa mtu yoyote/yeyote mwenye akili timamu hata kama angekuwa mpenzi wa dhati wa Lowasa kipindi alipokuwa CCM, kwa kweli hawezi kumfuata Mheshimiwa Lowasa kwa vile ameingia Chama kipya.

Imeonesha ni kiasi gani Mheshimiwa Lowasa alikuwa na uchu wa madaraka kupita maelezo
ni binadamu wachache sana huwa wako focused na hawayumbishwi katika kutimiza ndoto na malengo waliojiwekea katika maisha yao. weka ubishi na ushabiki pembeni mimi na wewe hatujui dhamira ya magufuri na lowassa mbali na kuamini tu. lowassa nafasi ya urais ilikuwa ndoto yake tangu angali kijana. lowassa amejiandaa kuwa rais toka nyuma huko na sote tunajua. Lowassa kamuachia rafiki yake lakini bado alikuwa na malengo ya kuwa rais. pamoja na vikwazo vyote alivyopitia bado hakutoka katika malengo yake ni somo kubwa sana.
 
ni binadamu wachache sana huwa wako focused na hawayumbishwi katika kutimiza ndoto na malengo waliojiwekea katika maisha yao. weka ubishi na ushabiki pembeni mimi na wewe hatujui dhamira ya magufuri na lowassa mbali na kuamini tu. lowassa nafasi ya urais ilikuwa ndoto yake tangu angali kijana. lowassa amejiandaa kuwa rais toka nyuma huko na sote tunajua. Lowassa kamuachia rafiki yake lakini bado alikuwa na malengo ya kuwa rais. pamoja na vikwazo vyote alivyopitia bado hakutoka katika malengo yake ni somo kubwa sana.

1390616702918272.jpg
 
vyama pinzani vinabidi viweke nguvu katika kupata katiba mpya kwa hii miaka mi5 tunayoanza ili kuleta haki na ushindani katika chaguzi zijazo....otherwise watakuwa wanatwanga maji kwenye kinu.kuitoa ccm madarakani kunahitaji long term plans ziizosukwa imara and not merely a 60 days plan.
 
Sure,,, sasa nikuwajoin tuu, tuvunje vyama, tuingie ndani humo, tupambane humo humo..
huenda mbinu hiyo ikarahisisha maendeleo yetu kuliko nakaa na vyama ambavyo vinaingia gharama kubwa za uchaguzi na waishia kuibiwa kura zao.
niwazo langu tuu
 
Nakubali pia hakuna hata haja ya kura ya ndio au hapana mbele kwa mbele wakishapitishana huko dodoma basi ndo huyo huyo.
 
nilijua tu nchii kupiga kura ni kupoteza muda lkn ccm ni wanyama hawa sio binaadam na ss watnzania wengi pia ni wajinga sana
 
Ndungu wanajamvi nimekaa peke yangu na kutafakari sana....na mwisho wa siku nimetoka na haya yafutayo....
Kwa miaka ambayo Tanzania imekuwa chini ya CCM na kwa jinsi ambavyo imejijenga na kuamini kwamba nchi hii haiwezi kutawalika iwapo haitakuwa madarakani, na bado pia ikiwa kama chama chenye dola ....kinatumia nguvu kubwa kwa kutumia nguvu ya dola kuhakikisha kwamba hakitoki madarakani....nikajifunza kitu na kuona kwamba hakuna haja ya kuingia ghalama kubwa kuwahadaa watu kwamba tukapige kula huku wakijua hawako tayari kufuata utaratibu...na pia hawapo tayari kuachia iwapo wameshindwa...( kuna watu watabisha ila unapokataa njoo na hoja kuniambia mabox yaliyokamatwa yakiwa tayari yameishapigwa kula yanaashiria nini...na kama tume ni huru mbona haijasema lolote) ....ni bora waseme Tanzania ni nchi ya chama kimoja, au tuchague kaukoo flani tukafanya kakoo kaifalme tuanze utawala wa kifalme ambapo mfalme hadi afe...na akifa anakuwa tayari alishachagua mrithi wake...kuliko kuendelea kudanganyana kiasi hiki...
 
Back
Top Bottom