Myahudi Jr II
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 6,703
- 8,482
We Depal weeh hayakukuta ujue mpaka mtu kuongea hivyo ana uthibitisho narudia tena hayajakukutaPole mama K ila kama wote wamekana we kinachokuliza nini?
Watu kutumiana hela haimaanishi ndio wanakulana.
Kutumiana pic we umeonaje na mwanzo wa thread umesema wahusika wamekana? Na mpo mikoa tofauti
Haha me nimecheka tu nikasema hihiii wanaume hawa sio watu wa kuwaamini 💯 ingawa wastaarabu wapo sema ndio vile kumi kwa mmoja.Nimepata hasira na maumivu jamani, na hiyo hali hata huruma hana? Na the way dada wa watu alikuwa anamsifia mpenzi wake kwa uzuri humu ndani, this people are so shameless..!
😀😀😀 basi babeWe Depal weeh hayakukuta ujue mpaka mtu kuongea hivyo ana uthibitisho narudia tena hayajakukuta
Hahahahaha haya mambo yanauma ujue hawa wanaume sio ndugu zetu kabisa mwisho wa siku lazima akuumize tubasi babe
Emu kanikeep busy kule Entertainment
Kuna mwenzio namfahamu alipatwa na kesi exactly kama yako. Ni miaka miwili na nusu imepita sasa na ameshasonga mbele. Kwa sasa lia ili sumu ikutoke na ukielemewa ukaanza kupatwa na mawazo mabaya ongea na mtu unayemwamini mf. Mchungaji/Sheikh wako na hata mama yako au shangazi uliye na ukaribu naye. Pia rudi katika maombi/sala kama u muumini. Ongea na Mungu wako na uwe naye kwa ukaribu. Utashangaa baada ya muda maumivu hayo yataanza kupungua pole pole; na mwishowe moyo wako utaanza kupona.Asante dear, yani kilichoniuma zaidi ni rafiki yangu wa karibu mnoooo yani sanaaa na mpaka mapicha ya uchi wanatumiana
Nimejaribu nipotezee naona peke yangu siwezi moyo unaniuma sanaaaaa
Sent from my iPhone using JamiiForums
Ni mbaya sana kuumizwa na mtu uliyekuwa ukimuamini. Dah Pisi kali pole sana mwaya najaribu kukufeel ila inakuja kama inakataa hivi.Hahahahaha haya mambo yanauma ujue hawa wanaume sio ndugu zetu kabisa mwisho wa siku lazima akuumize tu
Siyo woteHahahahaha haya mambo yanauma ujue hawa wanaume sio ndugu zetu kabisa mwisho wa siku lazima akuumize tu
Naam, ushauri wenye busara, kutoka kwa mtu anayejitambua. Bravo.Pole sana mkuu...
Maumivu ni makali,kidonda bado kibichi..
Lakini utapita tuu..
Time is the best healer..
Yes , with time utapona..
Many have crossed that path before.
Wote bwanaSiyo wote
Bila kujua kwanza chanzo cha hayo yote hatuna cha kumshauri. Watu wengi kwenye mahusiano huwa ni wajeuri mambo yanapoanza kwenda kombo wanataka tulie pamoja nao. Tuone yule aliyeenda kwingine ana makosa. Tumhukumu.Anyway tukushauri nn, umwache baba kija, utoe mimba au ufanyeje? Follow your heart!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Thanks mamy
Yani nina stress tangu mchana
Sent from my iPhone using JamiiForums