NZURI PESA
JF-Expert Member
- Mar 25, 2011
- 5,959
- 2,938
Kwanza pole.Nashauri umrudishe mama hospitali akaanze upya dawa hizo mara 1.Dozi ya kifua kikuu huwa ni miezi 8.Halafu ni kosa kumsimamisha mgonjwa kutumia dozi ya dw aliyopewa na Dkt wake,hasa huyo wa kifua kikuu,kwani UNAMDHOOFISHA ZAIDI na KK kinaambukiza vibaya.