Ushauri tafadhali!

Mrimi

JF-Expert Member
Jul 18, 2011
1,691
635
Last week niliomba ushauri juu ya laptop yangu inayopata sana moto ninapokuwa naitumia ikiwa connected kwenye ac power.
Wanajamii mlinishauri vitu vingi tu, nasema asante. Miongoni mwa mambo mliyonishauri ni kufikiria kuhusu kununua laptop nyingine.

Sasa nimejaribu ku google na kutafuta model na specifications ninazohitaji nimepata nyingi tu. Sasa tatizo ninaloona hapa ni kwamba, bei zilizoandikwa kwenye mtandao ni za juu ukilinaganisha na bei za wadosi wa hapa bongo ingawa models zinaonekana kuwa zinafanana.

Swali, je hizi hapa zina tofauti gani na zile za kwenye mtandao? Bei za kwenye mtandao(in terms of dollar & Euro) zinalipika, sawa, ila kama products ni sawa hii imekaaje?

Nawasilisha............
 
Inategemea zinauzwa nchi gani? Vitu vingi ulaya bei zake huwa juu sana ukilinganisha na bongo hata kama ubora ni sawa na sababu wanayotoa ni kwamba wanalipia kodi kubwa sana. Hata hivyo vingine vinaweza kuwa vinafanana lakini vinatoka nchi tofauti, mfano vinavyotoka china ni tofauti na vya ulaya, lakini pia vitu vingi vinavyokuja Afrika nadhani vinapewa punguzo fulani. Ukienda pale mlimani city utaona bei zao ni zinafanana na hizo za mtandaoni wao wanasema vitu vyao ni genuine na hivyo vinalinganishwa na vy ulaya/mtandaoni. Kwa uhakika kama unapesa na unataka kitu ambacho ni cha uhakika, nunua vya mtandaoni kama ni hapa bongo basi nenda na mzoefu anayeweza kukusaidia kujua kipi ni genuine.
 
Inategemea zinauzwa nchi gani? Vitu vingi ulaya bei zake huwa juu sana ukilinganisha na bongo hata kama ubora ni sawa na sababu wanayotoa ni kwamba wanalipia kodi kubwa sana. Hata hivyo vingine vinaweza kuwa vinafanana lakini vinatoka nchi tofauti, mfano vinavyotoka china ni tofauti na vya ulaya, lakini pia vitu vingi vinavyokuja Afrika nadhani vinapewa punguzo fulani. Ukienda pale mlimani city utaona bei zao ni zinafanana na hizo za mtandaoni wao wanasema vitu vyao ni genuine na hivyo vinalinganishwa na vy ulaya/mtandaoni. Kwa uhakika kama unapesa na unataka kitu ambacho ni cha uhakika, nunua vya mtandaoni kama ni hapa bongo basi nenda na mzoefu anayeweza kukusaidia kujua kipi ni genuine.

Nimekusoma mkuu. Binafsi mimi nahitaji mojawapo kati ya hizi:

Dell Inspiron 14R, 4GB RAM na Hard disk 500GB, inch 14'
Toshiba Satelite L745D-S4220, 4GB RAM, HDD 500GB, inch 14'
Hizi zote bei zake kwenye mtandao ni kati ya $500 hadi 600. Kwa bei za hapa nyumbani bado sijajua, kama vipi nipishe, mimi nipo mkoani sipo Dar.

Tatizo lingine ni kwamba sina sana imani na kufanya online shopping.Na pia sina uzoefu wa mambo haya.
 
Mimi nakushauri nunua dell, sinauzoefu pia wa kununua mtandaoni ni si watrust sana maana kuna mmoja aliagiza gari kwa njia ya mtandao kwa kampuni inayoaminika ya 9M baadaye akaambiwa kampuni imefirisika na hajapata pesa yake aliambiwa atapata baada ya mwaka mmoja.
 
Mimi nakushauri nunua dell, sinauzoefu pia wa kununua mtandaoni ni si watrust sana maana kuna mmoja aliagiza gari kwa njia ya mtandao kwa kampuni inayoaminika ya 9M baadaye akaambiwa kampuni imefirisika na hajapata pesa yake aliambiwa atapata baada ya mwaka mmoja.

Unaonaje kama ukafanya utafiti kidogo ili Dell yenye hizo specifications hapo Dar kama ipo na ni bei gani tafadhali.
 
Back
Top Bottom