Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 15,783
- 24,215
Salaam Wana JF
Kama expert wa soka naona ni Bora Kwa timu ya Simba kuwekeza nguvu zote kwenye kombe la mapinduzi litakalofanyika January kuliko kuendelea kukupoteza muda kwenye champions, ambako hata Kwa kuroga haiwezekani kuvuka
Bora msimu huu tuchukue mapinduzi cup Ili kabati lisilale njaa, coz najua hata kombe la ligi hatutoboi mbele ya wananchi
NB heri haba Moja kuliko kupoteza haba zote.
Kama expert wa soka naona ni Bora Kwa timu ya Simba kuwekeza nguvu zote kwenye kombe la mapinduzi litakalofanyika January kuliko kuendelea kukupoteza muda kwenye champions, ambako hata Kwa kuroga haiwezekani kuvuka
Bora msimu huu tuchukue mapinduzi cup Ili kabati lisilale njaa, coz najua hata kombe la ligi hatutoboi mbele ya wananchi
NB heri haba Moja kuliko kupoteza haba zote.