USHAURI: Nini huyu ndugu yangu afanye?

Apr 1, 2014
8
7
Amezaa na mke wa mtu, mmewe kagundua kampiga chini. Jamaa naye ana mke na watoto.

Hakutaka kuzaa naye, ila mwanamke ndo aliyeamua na jamaa amekuja gundua na kuambiwa baada ya mtoto kuzaliwa. Toto kweli ni lake kwa vigezo vyote.

Ni jambo gani sahihi kwake anapaswa kufanya juu ya yule mwanamke na/au mtoto? Anajihisi hatia na hana amani.
 
Kwenye upande wa talaka hapo ni both team to score Mkuu.

Anahitaji ushauri wa jambo gani hasa Mkuu maana umetuletea stori tu hapa.
 
Kwenye upande wa talaka hapo ni both team to score Mkuu.

Anahitaji ushauri wa jambo gani hasa Mkuu maana umetuletea stori tu hapa.
Nadhani sijaeleweka vizuri. Jamaa anahitaji ushauri wa nini afanye juu ya mchepuko wake na au mtoto.

Huyo mchepuko alikuwa ni mke wa mtu na amepigwa chini baada ya mme wake kugundua kazaa na huyu jamaa yangu. Mtoto kweli ni wake na yeye anakiri.

Anajihisi hatia kuvunja ndoa ya mchepuko wake na amekosa kabisa amani.

Ni kipi afanye walau awe kafanya kitu sahihi na fair kwa huyo mchepuko aliyeachwa na/au mtoto wake?
 
Nadhani sijaeleweka vizuri. Jamaa anahitaji ushauri wa nini afanye juu ya mchepuko wake na au mtoto.

Huyo mchepuko alikuwa ni mke wa mtu na amepigwa chini baada ya mme wake kugundua kazaa na huyu jamaa yangu. Mtoto kweli ni wake na yeye anakiri.

Anajihisi hatia kuvunja ndoa ya mchepuko wake na amekosa kabisa amani.

Ni kipi afanye walau awe kafanya kitu sahihi na fair kwa huyo mchepuko aliyeachwa na/au mtoto wake?
akili ndio zinamrudi awajibike kulea na mkewe akijua hali itakua mbaya zaidi.
 
Nadhani sijaeleweka vizuri. Jamaa anahitaji ushauri wa nini afanye juu ya mchepuko wake na au mtoto.

Huyo mchepuko alikuwa ni mke wa mtu na amepigwa chini baada ya mme wake kugundua kazaa na huyu jamaa yangu. Mtoto kweli ni wake na yeye anakiri.

Anajihisi hatia kuvunja ndoa ya mchepuko wake na amekosa kabisa amani.

Ni kipi afanye walau awe kafanya kitu sahihi na fair kwa huyo mchepuko aliyeachwa na/au mtoto wake?
Huyo jamaa ni wewe,jiandae na revenge ya huyo jamaa ama roho yako au akutombee na wewe
 
Huyo jamaa ni wewe,jiandae na revenge ya huyo jamaa ama roho yako au akutombee na wewe
Umenifanya nicheke. Sio mimi muhusika siku ya tatu leo yuko hapa kwangu. Ni mpole balaa, Hana amani.
Mimi binafsi pia nilikuwa na mchepuko wa aina hiyo, Ila toka jana nimeamua kuangalia namna nyingine.
 
Aendelee na maishaa yakeee yule mwanamkee Amtunze mtoto ni zawadi kapewa na jamaaa...!! Jamaa anajitambua anaheshimu ndoa yakee
 
Tuliza akili mkuu
Soma vizur nilichoandika
Then kielew what i mean
 
Na yeye rafkiako Kwanini atembee na mke watu hapo tu ndo kanikera mbona wanawake wapo wengi sana mtaani tena wamemaliza vyuo kila mwaka vyuo vinatema warudi mtaani anashindwa kujisevia
 
Amlee mtoto kama sheria zinavyotaka, kuhusu mahusiano na huyo mchepuko aache kabisa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom