Barafu ya moto
Member
- Apr 1, 2014
- 8
- 7
Amezaa na mke wa mtu, mmewe kagundua kampiga chini. Jamaa naye ana mke na watoto.
Hakutaka kuzaa naye, ila mwanamke ndo aliyeamua na jamaa amekuja gundua na kuambiwa baada ya mtoto kuzaliwa. Toto kweli ni lake kwa vigezo vyote.
Ni jambo gani sahihi kwake anapaswa kufanya juu ya yule mwanamke na/au mtoto? Anajihisi hatia na hana amani.
Hakutaka kuzaa naye, ila mwanamke ndo aliyeamua na jamaa amekuja gundua na kuambiwa baada ya mtoto kuzaliwa. Toto kweli ni lake kwa vigezo vyote.
Ni jambo gani sahihi kwake anapaswa kufanya juu ya yule mwanamke na/au mtoto? Anajihisi hatia na hana amani.