Kiukweli i can feel the hard time ur passing through.. Ndoa isiyo na hofu ya Mungu ni mtihani mkubwa sana the way ulivyo elezea scenario it was very simple and clear for her to understand..Natumaini mu wazima wa afya kama kichwa cha habari kinavyosema hapo juu ngoja niendee moja kwa moja kwenye mada,….
Nipo kwenye ndoa huu mwaka wa tatu na tumebahatika kupata mtoto mmoja mimi na mwenzangu hapo mwanzo maisha yalikuwa mazuri sana ila hivi karibuni mambo yamebadilika sana mpaka kuja hapa jukwaa la MMU kuja kuomba ushauri inaonesha ni kwa jinsi gani nilivyokwazika na nisijue cha kufanya kwa huyu wa ubani wangu maana nipo njia panda na ndoa yangu imetetereka kwelikweli kwa siku za hivi karibuni…….
Kisa chenyewe ni kwamba hivi majuzi nilitembelewa na shemeji yangu (Yaani mdogo wake na mke wangu) na Mungu kamjalia kapata mtoto so ndio akawa amekuja kututembelea hapa nyumbani na akawa amekaa hapa kwa takribani wiki moja hivi …..
Sasa kuna siku mke wangu alikwenda sokoni kufanya shopping ya mahitaji hapa nyumbani na siku hiyo alituacha mimi na mdogo wake ambaye ni shemeji yangu hapa nyumbani kwa kuwa nilikuwa nimeboreka nikaamua kwenda kujipumzisha chumbani wakati nautafuta usingizi mtoto wa huyu shemeji yangu akawa amekuja chumbani kiroho safi nikaaamua kumchukua na kumrudisha kwa mama yake ambaye alikuwa chumba jirani tu ….
Sasa wakati natoka chumbani kwa shemeji ghafla muda huohuo mke wangu ndio akawa amerejea kutoka sokoni kwa kweli kwa mazingira aliyonikuta nayo pale (Hapa ni kwamba wakati namrudisha mtoto kwa mama yake nilikuwa nimejifunga taulo kiunoni ) ni haki yake kunifokea nakumbuka alinitukana alinishushua na kunifokea kwa sauti ya juu kuwa nilienda kufanya nini chumbani kwa mdogo wake na akawa anafoka kumbe ndio kawaida yako kulala na shemeji yako mdogo wake akaitwa pale akafokewa kwelikweli yaani sitokaa nisahau hiyo siku nahisi siku hiyo majirani walijua tuna ugomvi maana sio kwa kelele zile za mke wangu na binafsi nilidhalilika .…
Baadae alivyotulia nikaamua kutumia busara nikawaita wote yeye na mdogo wake kuweka mambo sawa shemeji yenu akawa ngumu kuelewa baada ya tukio lile ikabidi mdogo mtu atimuliwe pale nyumbani baada ya siku mbili maana alisimamia msimamo wake mimi siku hiyo nililala na mdogo wake….Baada ya Hilo songombingo mke wangu amebadilika sana nimekuwa nikitoka kazini nikifika nyumbani simkuti na nakuta kamwacha motto peke yake nyumbani kamfungia ndani mara nyingine amekuwa akimwacha kwa majirani na huwa anachelewa kurudi nyumbani ikumbukwe kuwa shemeji yenu ni mama wa nyumbani.....
Jana ndio kanichefua kwelikweli nikatamani nimshushie ngumi za kutosha ni kwamba vile nimekuwa si mtu wa kupiga wanawake ilikuwa hivi jana nimerudi nyumbani mida ya saa12 kasoro sikumkuta mwanangu pia sikumkuta nikaa nikawasha tv nikiwa namsubili nikajua kaenda sokoni kupiga simu haipatikani muda ukawa unasonga tu nimekuja kugongewa mlango saa6 usiku mtOto kumbe kamwacha kwa jirani alivyorudi nilimuuliza mtOto yupo wapi akaniambia nilimwacha kwa Fulani…. Kumchunguza akawa ananuka pombe kumuuliza maswali mawili matatu ananijibu ndivyo sivyo tena kwa kujiamini aisee kama singu ningeua ni jana kuepuka shari nikaenda zangu kulala asubuhi nimeamka nimeenda zangu kazini nikiwa na mawazo na mpaka naandika huu uzi nipo mahali napiga bia nyingi nikitafakari ni kitu gani nitamfanya huyu mke wangu maana inaonesha wazi amebadilika na nahisi ananisaliti……
Waungwana wa JF naombeni ushauri wenu maana ndoa yangu naona ishatetereka na muda wowote inavunjika ndoa….. Nawasilisha
anyway ngoja arudi nitaongea nae kwa upole nimuulize anataka nini maana nikiamua kutumia ukanda maalumu wangu nitaua na watu hawatakawia kusema kawaida yao kushusha vipigo kwa wake zao ngoja nimsubili white....kama kawaida yangu nitaongea nae kwa upole nijue ni nini hasa kilichombadilishaAwe mkali asiwe mkali ebu simama kama mwanaume wa wapi wewe
mdogo mtu ana mvuto zaidi ya wife ni mbulu so nahisi wivu wa mke wangu kwa mdogo wake ndio umetufikisha hukuTafuta watu ambao mke wako anaweheshimu na kuwasikiliza wambie ukweli na ikiwezekana mdogo mtu aitwe... Ila story umeibana vp mdogo mtu a.k.a shemeji ako yupoje yupoje maana wanawake wanawivu kwenye mengi.. Usikute shemeji ni mrembo kuliko waifu..
Tatizo hukuwai kumpiga mpaka asitoke nje siku 7Natumaini mu wazima wa afya kama kichwa cha habari kinavyosema hapo juu ngoja niendee moja kwa moja kwenye mada,….
Nipo kwenye ndoa huu mwaka wa tatu na tumebahatika kupata mtoto mmoja mimi na mwenzangu hapo mwanzo maisha yalikuwa mazuri sana ila hivi karibuni mambo yamebadilika sana mpaka kuja hapa jukwaa la MMU kuja kuomba ushauri inaonesha ni kwa jinsi gani nilivyokwazika na nisijue cha kufanya kwa huyu wa ubani wangu maana nipo njia panda na ndoa yangu imetetereka kwelikweli kwa siku za hivi karibuni…….
Kisa chenyewe ni kwamba hivi majuzi nilitembelewa na shemeji yangu (Yaani mdogo wake na mke wangu) na Mungu kamjalia kapata mtoto so ndio akawa amekuja kututembelea hapa nyumbani na akawa amekaa hapa kwa takribani wiki moja hivi …..
Sasa kuna siku mke wangu alikwenda sokoni kufanya shopping ya mahitaji hapa nyumbani na siku hiyo alituacha mimi na mdogo wake ambaye ni shemeji yangu hapa nyumbani kwa kuwa nilikuwa nimeboreka nikaamua kwenda kujipumzisha chumbani wakati nautafuta usingizi mtoto wa huyu shemeji yangu akawa amekuja chumbani kiroho safi nikaaamua kumchukua na kumrudisha kwa mama yake ambaye alikuwa chumba jirani tu ….
Sasa wakati natoka chumbani kwa shemeji ghafla muda huohuo mke wangu ndio akawa amerejea kutoka sokoni kwa kweli kwa mazingira aliyonikuta nayo pale (Hapa ni kwamba wakati namrudisha mtoto kwa mama yake nilikuwa nimejifunga taulo kiunoni ) ni haki yake kunifokea nakumbuka alinitukana alinishushua na kunifokea kwa sauti ya juu kuwa nilienda kufanya nini chumbani kwa mdogo wake na akawa anafoka kumbe ndio kawaida yako kulala na shemeji yako mdogo wake akaitwa pale akafokewa kwelikweli yaani sitokaa nisahau hiyo siku nahisi siku hiyo majirani walijua tuna ugomvi maana sio kwa kelele zile za mke wangu na binafsi nilidhalilika .…
Baadae alivyotulia nikaamua kutumia busara nikawaita wote yeye na mdogo wake kuweka mambo sawa shemeji yenu akawa ngumu kuelewa baada ya tukio lile ikabidi mdogo mtu atimuliwe pale nyumbani baada ya siku mbili maana alisimamia msimamo wake mimi siku hiyo nililala na mdogo wake….Baada ya Hilo songombingo mke wangu amebadilika sana nimekuwa nikitoka kazini nikifika nyumbani simkuti na nakuta kamwacha motto peke yake nyumbani kamfungia ndani mara nyingine amekuwa akimwacha kwa majirani na huwa anachelewa kurudi nyumbani ikumbukwe kuwa shemeji yenu ni mama wa nyumbani.....
Jana ndio kanichefua kwelikweli nikatamani nimshushie ngumi za kutosha ni kwamba vile nimekuwa si mtu wa kupiga wanawake ilikuwa hivi jana nimerudi nyumbani mida ya saa12 kasoro sikumkuta mwanangu pia sikumkuta nikaa nikawasha tv nikiwa namsubili nikajua kaenda sokoni kupiga simu haipatikani muda ukawa unasonga tu nimekuja kugongewa mlango saa6 usiku mtOto kumbe kamwacha kwa jirani alivyorudi nilimuuliza mtOto yupo wapi akaniambia nilimwacha kwa Fulani…. Kumchunguza akawa ananuka pombe kumuuliza maswali mawili matatu ananijibu ndivyo sivyo tena kwa kujiamini aisee kama singu ningeua ni jana kuepuka shari nikaenda zangu kulala asubuhi nimeamka nimeenda zangu kazini nikiwa na mawazo na mpaka naandika huu uzi nipo mahali napiga bia nyingi nikitafakari ni kitu gani nitamfanya huyu mke wangu maana inaonesha wazi amebadilika na nahisi ananisaliti……
Waungwana wa JF naombeni ushauri wenu maana ndoa yangu naona ishatetereka na muda wowote inavunjika ndoa….. Nawasilisha
mdogo mtu ana mvuto zaidi ya wife ni mbulu so nahisi wivu wa mke wangu kwa mdogo wake ndio umetufikisha hukuTafuta watu ambao mke wako anaweheshimu na kuwasikiliza wambie ukweli na ikiwezekana mdogo mtu aitwe... Ila story umeibana vp mdogo mtu a.k.a shemeji ako yupoje yupoje maana wanawake wanawivu kwenye mengi.. Usikute shemeji ni mrembo kuliko waifu..
Kabisaaa kapata pakutokea sasaHuyo alishakuchoka kitambo sana mkuu alikosa sababu tu ya kulianzisha, lakini kupitia hali hiyo ndio amepata mahali pa kupenyea
ngoja leo nione atarudi muda gani maana mpaka sasa hajafika nyumbani na naendelea kushusha bia taratibu hapa ndaniFukuzaaaa!!! Akirudi saa 6 akalale alipotoka mshenzi wa tabia huyo
Endelea kuendekeza upole aongeze jeuri na ukute huko anapigwa mbele na nyuma kukukomoaanyway ngoja arudi nitaongea nae kwa upole nimuulize anataka nini maana nikiamua kutumia ukanda maalumu wangu nitaua na watu hawatakawia kusema kawaida yao kushusha vipigo kwa wake zao ngoja nimsubili white....kama kawaida yangu nitaongea nae kwa upole nijue ni nini hasa kilichombadilisha
kuwa serious mkuu... nakuja pmmhh.. hiki kisa.. mbona kama nawajua.. ww na mke wako.. ila mke wako mzur.. ana chura sema kichwa empty.. ni pm nikutumie pic zake
Usifanye maamuzi baada ya kulewa pombengoja leo nione atarudi muda gani maana mpaka sasa hajafika nyumbani na naendelea kushusha bia taratibu hapa ndani
Aisee pole sana...so, inaonyesha ugomvi upo hata kabla ya hlo tukio??sometimes nasema kwanini niliingia katika hiki kifungo.... maana ni ugomvi kila kukicha
Humu hatari sana.kuwa serious mkuu... nakuja pm