sexologist
JF-Expert Member
- Dec 5, 2010
- 2,283
- 976
Hamjambo?
Husika na mada tajwa hapo juu, nimeona changamoto za maisha zimekuwa nyingi sana. Sasa nimeamua na mimi niende Nigeria kutafuta utaalamu wa kienyeji nifanikiwe zaidi kifedha.
Tafadhari mwenye uzoefu na hiyo nchi aniambie pa kuanzia, yaani nauli, viza, accommodation, mahali walipo wataalam, usalama n.k Au kama kuna mtu ana contact za mzee wa tuzo anitumie yeye ana uzoefu zaidi.
Nawasilisha na nitaleta mrejesho.
Asanteni.
Husika na mada tajwa hapo juu, nimeona changamoto za maisha zimekuwa nyingi sana. Sasa nimeamua na mimi niende Nigeria kutafuta utaalamu wa kienyeji nifanikiwe zaidi kifedha.
Tafadhari mwenye uzoefu na hiyo nchi aniambie pa kuanzia, yaani nauli, viza, accommodation, mahali walipo wataalam, usalama n.k Au kama kuna mtu ana contact za mzee wa tuzo anitumie yeye ana uzoefu zaidi.
Nawasilisha na nitaleta mrejesho.
Asanteni.