we nae jitu zima uko kama jinga
we nae jitu zima uko kama jinga
ubaruku
kwanini wanaume wa kiafrica uwa wanakosa confidence wanapooa wazungu tofauti na wanapooa hapa nyumbani
ubaruku
Halafu nasikia kikwete yuko huko sijui ni jimbo gani wasiliana nae akupe ushauri mzuri
Jabari wana JF.
Mimi ni Mbongo lkn naishi Marekani na mke wangu ni Mmarekani .
Nachotaka hapa ni ushauri na si matusi tafadharini.
Ni hivi ....Mke wangu ni mkorofi sana, nataka nimpige chin(nimuache) .
Niko kwenye ndoa miaka 3 na ninayo Green Card ya miaka kumi.
Hofu yangu nikimuacha vipi uhalali wa kuishi bila yeye ?
Wana JF wa Marekani naombeni ushauri tafadharini.
umeacha kuoa kwenu huko Tabora unakuja kutuuliza ujinga
we nae jitu zima uko kama jinga
Ulipokua unaoa ulikuja kuomba ushauri humu??Jabari wana JF.
Mimi ni Mbongo lkn naishi Marekani na mke wangu ni Mmarekani .
Nachotaka hapa ni ushauri na si matusi tafadharini.
Ni hivi ....Mke wangu ni mkorofi sana, nataka nimpige chin(nimuache) .
Niko kwenye ndoa miaka 3 na ninayo Green Card ya miaka kumi.
Hofu yangu nikimuacha vipi uhalali wa kuishi bila yeye ?
Wana JF wa Marekani naombeni ushauri tafadharini.
Hupo kwenye K1 or K3 Visa? Masharti ya kibali chako cha kuhishi marekani yatakupa jibu sahihi. Kama hupo chini ya "Conditional permit" basi ni mkeo tu ndo anaweza kuomba iondolewe. Ndoa ikifa waweza jikuta hupo kiwalani. ..
USA baby:usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2:
Hahahahaaaakikwete naye atakuwa ana mke wa USA asiyetaka kuishi afrika maana kila wiki huyo huko