MR LINKO
JF-Expert Member
- Aug 20, 2016
- 3,034
- 3,481
Habari wana jukwaa wa jamii forums
Niende kwenye mada moja kwa moja nina idea ya kumfungulia dogo salon, nina maana salon ya kiume simple tu wala sio ya gharama. Namchukulia vitu vya kawaida tu kama mashine za kunyolea mbili na vitu vidogo vidogo, kiti ataanza nacho kimoja na kochi la wateja wa kusubiria na subwoofer kwa ajili ya mziki.
Nia yangu ya kwanza ni moja kuliko zote nije ni mkabidhi iwe yake ila sita mwambia kwa sasa, maana nilimpa wazo akakubali kwa aslimia zote 100% japo hajui kunyoa hata kidogo mfano kipara, na mitindo mingine hata kushika mashine hajawaii.
Ila nimemlipia mahali anze kujifunza kwa mtu kwa vichwa vya wanafunzi wa msingi maana najua akiwakosea hawezi pigwa ngumi.
PLAN YANGU IKO HIVI:
Nikimfungulia nitampa masharti kuwa nataka niwe naona hesabu kamili kwa week hii najua miezi miwilii ya kwanza itakuwa mi ngumu ila sio kesi.
Asiwe mzembe asababishe vitu kuibiwa na Salon sio kijiwe ni sehemu ya biashara maana najua kwakikaa masela sana itakuwa kuna changamoto kwa baadhi ya wateja.(Hii ina maana wanaweza kaa watu wa 4 ndani mtu anataka kunyoa akajua kuwa kuna foleni)
Baada ya yote hayo nikijua kuna mafanikio kwenye upande wa salon basi sitakuwa nakuja tena kumuuliza kuhusu hesabu na nitamuachi salon kisha asiinijue kabisa na kuhusu kodi, kula na pesa za pango ajilipie mwenyewe kifupi aishi maisha yake.
MASWALI YANGU NI HAYA KAMA UKIJIBU KWA UFASAHA NITAFURAHI SANA:
1: Je biashara ya salon ina lipa au huwa ni kawaida tu kwa ajili ya kusukuma maisha?
2: Changamoto za salon tukiachana na wateja?(kipikina tia hasara sana au ni kuwa nacho makini)
3:Je kwa salon ya chini kabisa lazima nikakate leseni TRA maana ni simple tu.
4: Kama mtu yuko serious kwa kiwango cha chini cha kuingiza kwa siku inaweza kuwa kiasi gani hii tuchukulie kwa location ya kawaida. (maana kuna utafiti nimefanya kuna jamaa kaniambia kwa siku inaweza kuwa hadi 5000-8000)
5:Vifaa muhimu kabisa kwa salon ya kawaida maana nimepanga kuweka kijijini huko nje kidogo na mjini sehemu ambayo kuna wanafunzi wa msingi.(maana huko najua jero jero na buku ni nyingi sana)
6: Biashara gani nyingine naweza ongeza kuweza kuongeza mahitaji ya kipato kuepuka kusubiria salon pekee hapa nina maana hapo hapo kwenye frame moja.
NB: Bei ya frame nimepata mahali ni 50 elfu kwa mwezi na ndo sehemu karibu na shule ya msingi na pia kuna saloon kama mbili sema sio karibu sana na mimi na nilipo hakuna salon hata moja.
WAZO LANGU: Nilikuwa nataka niweke na PS 2 kwa ajili ya kuwavuta hawa watoto wa msingi mfano akinyoa ana cheza bure au akiniletea mteja anacheza mechi moja bure na pia kwa mechi kawaida itakuwa ni 200 kama hivyo tu. (kumbuka hapa nitazingatia wanao cheza tu na sio kuwa watajazana)
Kuweka movie ila hii ni ngumu maana itashindikana maana dogo sio mtu wa movie za kutafsiriwa yeye ni HD na za kihindi sijuii kifilipino hizo hayupoo kabisa.
Kama unawazo niongeze nitashukuru.
Niende kwenye mada moja kwa moja nina idea ya kumfungulia dogo salon, nina maana salon ya kiume simple tu wala sio ya gharama. Namchukulia vitu vya kawaida tu kama mashine za kunyolea mbili na vitu vidogo vidogo, kiti ataanza nacho kimoja na kochi la wateja wa kusubiria na subwoofer kwa ajili ya mziki.
Nia yangu ya kwanza ni moja kuliko zote nije ni mkabidhi iwe yake ila sita mwambia kwa sasa, maana nilimpa wazo akakubali kwa aslimia zote 100% japo hajui kunyoa hata kidogo mfano kipara, na mitindo mingine hata kushika mashine hajawaii.
Ila nimemlipia mahali anze kujifunza kwa mtu kwa vichwa vya wanafunzi wa msingi maana najua akiwakosea hawezi pigwa ngumi.
PLAN YANGU IKO HIVI:
Nikimfungulia nitampa masharti kuwa nataka niwe naona hesabu kamili kwa week hii najua miezi miwilii ya kwanza itakuwa mi ngumu ila sio kesi.
Asiwe mzembe asababishe vitu kuibiwa na Salon sio kijiwe ni sehemu ya biashara maana najua kwakikaa masela sana itakuwa kuna changamoto kwa baadhi ya wateja.(Hii ina maana wanaweza kaa watu wa 4 ndani mtu anataka kunyoa akajua kuwa kuna foleni)
Baada ya yote hayo nikijua kuna mafanikio kwenye upande wa salon basi sitakuwa nakuja tena kumuuliza kuhusu hesabu na nitamuachi salon kisha asiinijue kabisa na kuhusu kodi, kula na pesa za pango ajilipie mwenyewe kifupi aishi maisha yake.
MASWALI YANGU NI HAYA KAMA UKIJIBU KWA UFASAHA NITAFURAHI SANA:
1: Je biashara ya salon ina lipa au huwa ni kawaida tu kwa ajili ya kusukuma maisha?
2: Changamoto za salon tukiachana na wateja?(kipikina tia hasara sana au ni kuwa nacho makini)
3:Je kwa salon ya chini kabisa lazima nikakate leseni TRA maana ni simple tu.
4: Kama mtu yuko serious kwa kiwango cha chini cha kuingiza kwa siku inaweza kuwa kiasi gani hii tuchukulie kwa location ya kawaida. (maana kuna utafiti nimefanya kuna jamaa kaniambia kwa siku inaweza kuwa hadi 5000-8000)
5:Vifaa muhimu kabisa kwa salon ya kawaida maana nimepanga kuweka kijijini huko nje kidogo na mjini sehemu ambayo kuna wanafunzi wa msingi.(maana huko najua jero jero na buku ni nyingi sana)
6: Biashara gani nyingine naweza ongeza kuweza kuongeza mahitaji ya kipato kuepuka kusubiria salon pekee hapa nina maana hapo hapo kwenye frame moja.
NB: Bei ya frame nimepata mahali ni 50 elfu kwa mwezi na ndo sehemu karibu na shule ya msingi na pia kuna saloon kama mbili sema sio karibu sana na mimi na nilipo hakuna salon hata moja.
WAZO LANGU: Nilikuwa nataka niweke na PS 2 kwa ajili ya kuwavuta hawa watoto wa msingi mfano akinyoa ana cheza bure au akiniletea mteja anacheza mechi moja bure na pia kwa mechi kawaida itakuwa ni 200 kama hivyo tu. (kumbuka hapa nitazingatia wanao cheza tu na sio kuwa watajazana)
Kuweka movie ila hii ni ngumu maana itashindikana maana dogo sio mtu wa movie za kutafsiriwa yeye ni HD na za kihindi sijuii kifilipino hizo hayupoo kabisa.
Kama unawazo niongeze nitashukuru.