teacher x
Member
- Oct 25, 2013
- 87
- 54
Habari zenu Mara nyingi nimekuwa nikipitia comment za watu humu suala la Rpm limekuwa likiongelewa sana
Naomba kujuzwa kwamba ili gari itumie mafuta vizuri Rpm inabidi iweje na je Kuna uhusiano gani Kati ya mwendo kasi na rpm kuwa juu au kuwa chini msaada tafadhali
Naomba kujuzwa kwamba ili gari itumie mafuta vizuri Rpm inabidi iweje na je Kuna uhusiano gani Kati ya mwendo kasi na rpm kuwa juu au kuwa chini msaada tafadhali