love more than100
JF-Expert Member
- Jan 27, 2014
- 2,061
- 713
Huna mume una mshe.nzi
Mshenzii wa tabia,mwenendo nk
Huna mume una mshe.nzi
Na wewe nae,sasa kwann hujui mapenzi?ebu nitafute nikufundishe bure kabiss bila ata sent sawa bi dada!!!!
Hakufanya ivo. Ilifikiwa wakati nikaona ngoja nikae nisimsumbue ila nilijiuliza nitaishi hivi mpaka lini na kusaliti ndoa siwezi. Nilimwomba Mungu sana anipe uvumilivu ila pia Mungu aseme na mimi juu ya hii ndoa.
we ndiye hujamuelewa bi dada!!!Inamaana hujamsoma bidada au?
Kwanza watoto wanaishi kwa baba, peleka mtoto wako kwa baba yake!!uoni wake waishi kwa baba. nyie mnaojidai kukatalia watoto na mmnaenda kuolewa nao mnawaletea shida, tena amgonge tu binti yako kwani kizuizi ni nini? sio damu yake. kashakuwa mkubwa..
we ndiye hujamuelewa bi dada!!!
mie nataka nimfundishe mapenzi maana ndio chanzo cha tatizo,na wala sijamwambia aisaliti ndoa yake!!
we ndiye hujamuelewa bi dada!!!
mie nataka nimfundishe mapenzi maana ndio chanzo cha tatizo,na wala sijamwambia aisalitu ndoa yake!!
HIIVIII KWENU UMEUA UNAOGOPA KURUDI?
Uenda alikuwa anatafuta mtu wa kulelea wanaee na sasa hapo walipofka kaona hata ukiwaacha hana taabu...
Ujui mapenz si akufunze yeye hiyo tabia mbaya zaidi anayotaka?
Uenda anashda ingne zaidi kama lbd kakutaka kinyume na maumbile sasa umemkatalia ndio anakuadhibu kwa hiloo.
Nimesoma hii thread yako na kusoma maoni yote. Nataka nami nijaribu kutoa maoni yangu. Kwanza, huyu mume wako ninaweza kusema ameathirika kisaikolojia. Hakuna mtu mwenye akili timamu atakaye mtamani mtoto wa mkewe. Hivi weye umewahi kumtamani huyo wake wa kiume?? Ni nini kinakufanya usimtamani?? Hujasikia kitu inaitwa Sugar Mumy?? Kwa sababu akili zako ni njema hutamwona kama kakua.
Pili; Kwa kuwa ameathirika kisaikolojia, njia pekee ni kumtoa mtoto wako hapo. Watoto wetu wa leo nadiriki kusema; Labda wamesahau kuchukua akili walipokuwa wanapewa vipaji na muumba wao. Bila hata hiyana, ataenda na huyo babake guest na ukimkamata atakupa jibu la kukufanya uzirai. Kama hajampa, basi kwa kuwa umesema una kazi yako na uwezo wa kumtunza binti yako, mtoe hapo home mpeleke mbali. Hata kama ni kwa mda tu.
Tatu; Kutana na mumeo kwenye chumba chenu, mkalishe, mweleze alipoufikisha moyo wako na kama ni nini, mwambie ungeomba kupeana nafasi kidogo yaani kuachana kwa muda kidogo. Akili zikimrudia, utarudi. Kama ameona majimama mengine huko nje huna uwezo wa kumzuia kwani aibu anayokupa bila kujua ni kubwa.