Ushauri: Mikutano ya Chadema iongezewe Wahudumu wa Mambo ya Dharula , Umati wa Nyahunge umenitisha

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,789
218,431
Mimi kama binadamu wa kawaida kabisa , nafahamu kuhusu mambo ya dharula za kiafya yanayoweza kumpata mtu yeyote mahali popote , na hasa mahali penye Mkusanyiko mkubwa wa watu .

Umati wa Watu waliojitokeza kwenye Mkutano wa Hadhara wa Chadema huko Nyahunge , Jimbo la Buchosa umenifanya nitambue kwamba , kumbe kuna haja ya kuongeza huduma za dharula lwenye mikutano ya hawa Chadema , kwa umati ule haiwezekani kahema kamoja ka Red cross kuhimili .

Naomba sana viongozi wa Chadema na hata Mamlaka za Nchi zenye dhamana ya kulinda Usalama wa Raia zitambue jambo hili .

Hebu angalia Umati huu halafu Toa Maoni Yako

Screenshot_2023-08-02-23-25-17-1.jpg
Screenshot_2023-08-02-23-24-37-1.jpg
Screenshot_2023-08-02-23-24-32-1.jpg
Screenshot_2023-08-02-23-25-00-1.jpg
Screenshot_2023-08-02-23-25-04-1.jpg
Screenshot_2023-08-02-23-25-12-1.jpg
Screenshot_2023-08-02-23-24-56-1.jpg
Screenshot_2023-08-02-23-24-51-1.jpg
Screenshot_2023-08-02-23-24-41-1.jpg
 
Hizo ni gari za Chadema , ziko kila mahali nchi nzima, zinatembea na viongozi au wanachama kwenye shughuli za kichama , ziko nyingi sana
Fikisha ujumbe huko kuwa, Makamu Mwenyekiti, Mh Tundu Lissu anastahili vyombo bora zaidi..

Na mnapokwenda Chato msafara wake uongezewe ulinzi wa kichama maradufu ili kuhakikisha usalama wake na vifaa vya kazi vinavyosafiri na Rais wetu mtarajiwa..
 
Mimi kama binadamu wa kawaida kabisa , nafahamu kuhusu mambo ya dharula za kiafya yanayoweza kumpata mtu yeyote mahali popote , na hasa mahali penye Mkusanyiko mkubwa wa watu .

Umati wa Watu waliojitokeza kwenye Mkutano wa Hadhara wa Chadema huko Nyahunge , Jimbo la Buchosa umenifanya nitambue kwamba , kumbe kuna haja ya kuongeza huduma za dharula lwenye mikutano ya hawa Chadema , kwa umati ule haiwezekani kahema kamoja ka Red cross kuhimili .

Naomba sana viongozi wa Chadema na hata Mamlaka za Nchi zenye dhamana ya kulinda Usalama wa Raia zitambue jambo hili .

Hebu angalia Umati huu halafu Toa Maoni Yako

View attachment 2706673View attachment 2706674View attachment 2706675View attachment 2706676View attachment 2706678View attachment 2706679View attachment 2706680View attachment 2706681View attachment 2706682
Nakwambia kama siyo polisi , CCM haitapata hata mbunge mmoja. Chadema kazania tume huru na katiba, nchi hii ni ya watanzania wenye mawazo kama falsafa ya chadema
Baada ya hapo tunaipata Tanganyika ndani ya Muungano
 
Hii gari ya PA @Erythrocyte, Mwenyekiti anatembea nayo au inakodishwa hukohuko sehemu inakofanyikia mikutano?

Hizo ni gari za Chadema , ziko kila mahali nchi nzima, zinatembea na viongozi au wanachama kwenye shughuli za kichama , ziko nyingi sana
Erythrocyte acha kupiga watu fix. Hizo gari zingekuwa nyingi Makamu wa mwenyekiti asingetumia majukwa ya hivi 👇
Screenshot_20230522-090637.png
 
Mimi kama binadamu wa kawaida kabisa , nafahamu kuhusu mambo ya dharula za kiafya yanayoweza kumpata mtu yeyote mahali popote , na hasa mahali penye Mkusanyiko mkubwa wa watu .

Umati wa Watu waliojitokeza kwenye Mkutano wa Hadhara wa Chadema huko Nyahunge , Jimbo la Buchosa umenifanya nitambue kwamba , kumbe kuna haja ya kuongeza huduma za dharula lwenye mikutano ya hawa Chadema , kwa umati ule haiwezekani kahema kamoja ka Red cross kuhimili .

Naomba sana viongozi wa Chadema na hata Mamlaka za Nchi zenye dhamana ya kulinda Usalama wa Raia zitambue jambo hili .

Hebu angalia Umati huu halafu Toa Maoni Yako

View attachment 2706673View attachment 2706674View attachment 2706675View attachment 2706676View attachment 2706678View attachment 2706679View attachment 2706680View attachment 2706681View attachment 2706682
UNAONA FAHARI GANI KUTUWEKEA MAPICHA YA ZAMANI YA KAMPENI 2020.
 
Mimi kama binadamu wa kawaida kabisa , nafahamu kuhusu mambo ya dharula za kiafya yanayoweza kumpata mtu yeyote mahali popote , na hasa mahali penye Mkusanyiko mkubwa wa watu .

Umati wa Watu waliojitokeza kwenye Mkutano wa Hadhara wa Chadema huko Nyahunge , Jimbo la Buchosa umenifanya nitambue kwamba , kumbe kuna haja ya kuongeza huduma za dharula lwenye mikutano ya hawa Chadema , kwa umati ule haiwezekani kahema kamoja ka Red cross kuhimili .

Naomba sana viongozi wa Chadema na hata Mamlaka za Nchi zenye dhamana ya kulinda Usalama wa Raia zitambue jambo hili .

Hebu angalia Umati huu halafu Toa Maoni Yako

View attachment 2706673View attachment 2706674View attachment 2706675View attachment 2706676View attachment 2706678View attachment 2706679View attachment 2706680View attachment 2706681View attachment 2706682
Umma umekataa bandari zetu kuuzwa lakini CCM wameshupaza shingo wamezoe kuuza safari hii kimeumana.
 
Back
Top Bottom