....mbili tu kaka, naweza kupa hata contact za fundi wangu kama utapenda na uko jirani na TBR.
Kwa sasa huitaji kununua decoda na tv unless budget ---- imebana. Au kama tayari una tv sawa ila kama huna nashauri ununue tv za samsung LED zina inbuilt decoda na unapata free channels zote za hapa ndani kwa maana ya local channels na pia za nje kwa maana ya free channels pia. Na zote hizi ni bure ula lazima iwe na antena tu basi mi napata zaid ya channel 130 cnn bbc voa tv france tv citizen ubc clouds itv star tbc cctv etc
Madish yanausumbufu wa kila kukicha unatafuta fundi for settings and configurations.
I couldn't care less about TB Joshua channel, or Nollywood Plus or Nollywood Negative or CTL Africa.... what the heck is CTL Africa anyway?pia utapata channels za nje zaidi ya 40 ikiwamo TB Joshua, Al Jazeera, Muvi TV, Nollywood Plus, CTL Africa na nyingine nyingi kibao za Ulaya na Asia.
Kwa sasa huitaji kununua decoda na tv unless budget ---- imebana. Au kama tayari una tv sawa ila kama huna nashauri ununue tv za samsung LED zina inbuilt decoda na unapata free channels zote za hapa ndani kwa maana ya local channels na pia za nje kwa maana ya free channels pia. Na zote hizi ni bure ula lazima iwe na antena tu basi mi napata zaid ya channel 130 cnn bbc voa tv france tv citizen ubc clouds itv star tbc cctv etc
Madish yanausumbufu wa kila kukicha unatafuta fundi for settings and configurations.
Unaye sema kwamba unatumia dish bure unapotosha uma.hamna cha bure mwenye campuni alipie setelite angani halafu wewe "uangalie bureeee miaka yote" kwani wewe ni mtoto wake au we ni mke wake??over.
111asante kwa taarifa