ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 43,049
- 49,731
Bunge ndio chombo pekee ambacho kina mamlaka ya kuisimamia na kuiwajibisha Serikali.
Badala ya kupiga makelele ya jumla jumla yasiyo ya Kimkakati,hakikisheni mnafanya hivyo.
Rais alishasema wahusika wapishe au majibu yaletwe kabla ya Bunge kuanza na hapa muanze na Tamisemi Jumanne ijayo.
Mh.Spika hakikisha Kila Waziri anaekuja kusoma Hotuba ya Bajeti yake aje na majibu ya hoja za Ufisadi kwenye Wizara husika la sivyo Bajeti isipotishwe na Waziri husika achukukiwe hatua ikiwamo kufukuzwa..
Hakuna Wizara hata Moja ambayo Haina hoja za CAG,hatuwezi kuwa tunapayuka bila kwenda Kimkakati..
Badala ya kupiga makelele ya jumla jumla yasiyo ya Kimkakati,hakikisheni mnafanya hivyo.
Rais alishasema wahusika wapishe au majibu yaletwe kabla ya Bunge kuanza na hapa muanze na Tamisemi Jumanne ijayo.
Mh.Spika hakikisha Kila Waziri anaekuja kusoma Hotuba ya Bajeti yake aje na majibu ya hoja za Ufisadi kwenye Wizara husika la sivyo Bajeti isipotishwe na Waziri husika achukukiwe hatua ikiwamo kufukuzwa..
Hakuna Wizara hata Moja ambayo Haina hoja za CAG,hatuwezi kuwa tunapayuka bila kwenda Kimkakati..