Ilikuondoa uozo Serikalini uarakishe maandalizi ya katiba mpya na uitishe uchaguzi kabla ya 2015 na unaweza kugombea tena kwa kuwa TZ inazaliwa upya.Hii itakusaidia kujitenga na wanafiki katika CCM na mafisadi.WanaJF mnaonaje ushauri huu.Endeleeni kumshauri Rais wetu, nawasilisha.