goldie ink
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 5,636
- 9,132
Mimi nina mshauri huyo kaka kwamba asikate tamaa, yeye ni mwanaume afanye mambo yake na amuombe mungu amsaidie,
Asiwaze sana kuhusu huyo binti hilo tukio liliomkuta,
Hizo ni moja kati ya changamoto za maisha & mapenzi kwa ujumla, aoneshe msimamo wake kama mwanaume ajikaze na kusonga mbele na safari.
Kumbuka kila mwana wa adamu aliyeumbwa kwa udongo na kuumwambwa na mwenyezi mungu, atapitia katika magumu na marahisi.
Na ikumbukwe kwamba jambo lolote utakalo mfanyia mwanadamu mwenzio basi ipo siku tu ni lazima na wewe utafanyiwa na inaweza ikawa ni zaidi.
Waswahili husema " malipo ni duniani "
Na wazungu husema " what's come around, gone around "
Asiwaze sana kuhusu huyo binti hilo tukio liliomkuta,
Hizo ni moja kati ya changamoto za maisha & mapenzi kwa ujumla, aoneshe msimamo wake kama mwanaume ajikaze na kusonga mbele na safari.
Kumbuka kila mwana wa adamu aliyeumbwa kwa udongo na kuumwambwa na mwenyezi mungu, atapitia katika magumu na marahisi.
Na ikumbukwe kwamba jambo lolote utakalo mfanyia mwanadamu mwenzio basi ipo siku tu ni lazima na wewe utafanyiwa na inaweza ikawa ni zaidi.
Waswahili husema " malipo ni duniani "
Na wazungu husema " what's come around, gone around "