Madela Wa- Madilu
JF-Expert Member
- Mar 24, 2007
- 3,062
- 731
Nani atamsikiliza!.Ndio maana nikamtaka asafiri akazungumze na Seif.
Nyinyi hamna jema mutakalomfanyia dkt.Slaa,mbali na kumuongezea machungu.
Siasa za majitaka, Siasa za kuogopa vivuli vyenu, Siasa za kuganga njaa na zaidi ni Siasa za kuukubali Ubwana na Utwana katika nchi mliyopewa na Muumba wenu.
CHAKE CHAKE CHANGU CHAKE. KWao siku zote ni kwao, mnajikomba kwa kila hali hata kumwaga damu za ndugu zenu ile kwenu kuwe kwao.
Hii ni AIBU yetu wote.
Tumewavumilia kwa muda mrefu sana, sasa tunageuza meza.
Nguzo kuu ya Siasa za akina AMI ni Mashirika Makubwa ya Kimataifa ambayo ni mbadala wa serikali za kikoloni yanayotumia ujinga ule ule wa Karl Peters wa Kuwahonga Watawala wetu Shanga za Viunoni ili Wakoloni wale wale kwa kutumia Multinational Cooperation waendelee kunajisi nchi yetu vile wapendavyo.
Leo hii wajomba zako pale Ikulu wanapewa shanga za viunoni kwa umbo la vijisenti na kuzipeleka huko Jersey ,Dubai,S.Afrika na Mabenki mengine ya kigeni ili wapate wanunulia wake na Mabinti zao Gagulo za bei mbaya pia Magari ya Kifahari yatembeayo katika Barabara duni zenye mashimo, foleni ndefu na vumbi.
Dr Slaa doesn ot take NEC's NO for an Answer so do we.