Goldman
JF-Expert Member
- Dec 10, 2010
- 1,930
- 2,397
Naomba ushauri kwa wenye uelewa wa magari, kati ya toyota landcruiser prado na toyota harrier(4cylinder) zote za kati ya miaka 1998-2001, ipi ni bora kwa matumizi ya dar, angalau mara mbili kwa mwezi linaloweza ingia rough roads lets say dar-mpanda(katavi) ambalo value yake haishuki sana kama ukitaka kuliuza, hata kwa show kwa sisi vijana lipi zaidi, upatikanaji wa spares, ntashukuru sana kwa maoni yenu.