Ushauri juu ya kazi ya Ualimu na Uaskari wapi penye unafuu

Mtoto wangu kamwe hata akose kazi lakini hawezi kufanya kazi ya utumwa ya Police au jeshi....
ni mawazo finyu majeshi yoyote yale duniani yanaongozwa kwa sheria na taratibu zake bila kuwepo sheria kali ndani ya jeshi nchi nyingi zingekuwa zinaingia kwenye migogoro ndio maana ndani ya majeshi hakuna sheria ya kuandamana kama njia ya kudai haki ya mfanyakazi mm sioni utumwa ndani ya jeshi lolote lile hizo ni taratibu zake tu mkuu unachotakiwa kumwambia mleta thredi ni vitu vingine lakini cyo kusema kazi ya polisi au jeshi ni utumwa mbona wapo wengi ndani ya majeshi wasomi wengi tu swala ukiwa mfanyakazi jiendeleze kusoma ndio unaweza kufika mbali mwaka juzi nlikuwa marekani mbona na huko ni hivyo hivyo tu
kazi ya polisi au jeshi siyo utumwa mbali ni kazi kama zingine
 
Mimi ni mwalimu mwenye shahada ya elimu baada ya kujiendeleza toka ualimu ngazi ya cheti,miaka 7 kazini,
baada ya kuona mambo hayaendi kabisa hapa kwenye ualimu kuna ndugu yangu kanishauri nihamie kwenye jeshi la polisi (uaskari), kwani maisha ni magumu na pamoja na kujiendeleza kielimu hakuna badiliko lolote nnlilolipata hadi sasa kuanzia mshahara uko palepale tu,
zaidi ya kupelekwa kibabe sekondari ya jirani na shule yangu ya awali bila hata kupewa stahili zangu za uhamisho,
naomba ushauri wa dhati kuhusu wapi penye unafuu,
nimefuatilia ushauri mbalimbali juu hilo suala, bt me nataka kwa kukwambi bora uende polisi na ikipatkana Jw ndo usiache kabisa!!! polisi graduate haendi lindo zaidi ya majukum mengine ya kipolisi.
Mshahara wa graduate polis ni mkubwa kuliko mwl graduate na bado polisi anakuw na posho isiyopungua 150,000/ kwa mwezi.
lakini pia kwa polisi ambaye ni graduate anakuwa free sn na habanwi na amri za hapa na pale na km utapata kitengo kizuri ndo utaenjoy zaidi kimasilahi.
Suala la kuishi kwny vibox ni uamuzi wa muhusika na ndio maana hata uraiani tunaishi nao na wana posho pia ya pango ambayo ni zaidi ya 20% ya mshahara kwa mwezi.
My take: km kweli hutaki ualimu na unapata nafac ya polisi nenda lakn uwe unaipenda, polis ya ss co km ya zamani kwani sahv mishahara yao ukiachilia mbali cheo malipo yanafuata elimu.
 
Kama ni mtu unayemwamini na kumuabudu Mungu na unaamini vitabu vitakatifu na unaamini maisha baada ya haya, nakushauri usiende upolisi, Hasa upolisi wa nchi corrupt kama Tanzania,maana utalazimika kufanya vitu ambavyo utakuja kujutia nafsi yako.
 
nimefuatilia ushauri mbalimbali juu hilo suala, bt me nataka kwa kukwambi bora uende polisi na ikipatkana Jw ndo usiache kabisa!!! polisi graduate haendi lindo zaidi ya majukum mengine ya kipolisi.
Mshahara wa graduate polis ni mkubwa kuliko mwl graduate na bado polisi anakuw na posho isiyopungua 150,000/ kwa mwezi.
lakini pia kwa polisi ambaye ni graduate anakuwa free sn na habanwi na amri za hapa na pale na km utapata kitengo kizuri ndo utaenjoy zaidi kimasilahi.
Suala la kuishi kwny vibox ni uamuzi wa muhusika na ndio maana hata uraiani tunaishi nao na wana posho pia ya pango ambayo ni zaidi ya 20% ya mshahara kwa mwezi.
My take: km kweli hutaki ualimu na unapata nafac ya polisi nenda lakn uwe unaipenda, polis ya ss co km ya zamani kwani sahv mishahara yao ukiachilia mbali cheo malipo yanafuata elimu.

ahsante sana kwa ushauri kk,
 
Kwanza Jiulize Kwa Maandamano Ya Kudai Posho, Mishahara Na Mazingira Mazuri Ya Kufanyia Kazi, Wapi Wanaongoza?
Utapata Jibu
Mkuu Ukiwa Polisi Hata Uraian Unaheshimika Na Kuogopwa, Hakuna Wa kukuzingua, Unakuwa Free Sana Hata Kuaminika Pia Ktk Jamii Yako!
 
Jaribu kuulizia! Police mwenye shahada ana lipwaje? Vyeo vnapatkana vip? Nyota una ipataje? Na pia mazingiza ya kazi yapoje ndo ulinganishe na kazi yako! Ukivijua hv utafanya uwamuzi sahihi!
 
never try kazi yoyote ya kwenda depo!
tulia huko uliko, endelea kujisomea elimu zaidi na zaidi..... i rmbaskari aliyepigwa risasi tukio la ujambazi ubungo akiwa na pesa za crdb tawi la wami morogoro alikuwa ametokea ualimuni kama wewe alikuja police akidhani kuna ahueni but aliishia to hell....mkataaa pema pabaya panamwita
 
polisi wana maslah mazuri kuliko waalimu hasa ukiwa askari wa barabarani, huhitaji kusubiri mshahara wako yaan ht bila salary waweza kuishi tena vzr tu.
 
Du kaka kaz unayo ya kuchambua ushauri... Ualimu mpango xana wackutishe komaa huku ukiangalia namna na kujishughulisha na ujasiliamali. Mshahara hautoshi popote utapoenda.
 
Jaribu kuulizia! Police mwenye shahada ana lipwaje? Vyeo vnapatkana vip? Nyota una ipataje? Na pia mazingiza ya kazi yapoje ndo ulinganishe na kazi yako! Ukivijua hv utafanya uwamuzi sahihi!

askari wako juu,
 
Du kaka kaz unayo ya kuchambua ushauri... Ualimu mpango xana wackutishe komaa huku ukiangalia namna na kujishughulisha na ujasiliamali. Mshahara hautoshi popote utapoenda.

dah! Umeona ee?
Nisaidie wapi hasa panafaa zaidi
 
never try kazi yoyote ya kwenda depo!
tulia huko uliko, endelea kujisomea elimu zaidi na zaidi..... i rmbaskari aliyepigwa risasi tukio la ujambazi ubungo akiwa na pesa za crdb tawi la wami morogoro alikuwa ametokea ualimuni kama wewe alikuja police akidhani kuna ahueni but aliishia to hell....mkataaa pema pabaya panamwita

bila kutake risk huon n kazi kutoka,
pia kwa swala la kusoma naona kama halina msaada zaid ya kuongeza strees,maake system inaangalia inayemjua na sii nani anafaa,
 
Upolisi is beta than ualimu. nimeishi na mapolisi muda mrefu tu maisha yao ni rahisi mno kuliko Mwalimu. Em fikiria ukikaa police line umeme bure maji bure kukaa bure. hata ulipwe laki mbili zinakusave tofauti na Mwalimu. marafiki zangu wengi ambao ni marafiki now wanaenda lindo huku wamepaki ni vimkoko vyao. Lakini Mwalimu Thubutu! Chukua hatua kaka wala hutojutia mi nakutia nguvu. Kwa level hiyo ulofikia wala hutosota lindo kiviile utakwenda nyota. na ukirudi huko ndo ushaukata.
 
pole na ongera kwa kuliona hili pia pole kwa uwamuzi unaoonekana kama unaujutia. hauko pekeyako tupo wengi tulioamua kukuunga mkono kwa kwenda shule ila bado yanayo kusibu yanatusibu wengi pia. ila usibadili uwanja kwa kuwa matatizo yamezidi kumbuka imesemwa matatizo yakizidi ufumbuzi unakaribia hivyo wewe umeisha pona. ushauri mzuri ndio huu tulia fikili kwa kina njia za kutatua tatizo la kiuchumi maana nguvu za kuwekeza katika mambo mengine ilikupunguza matumizi ya mshahara kuendesha maisha ya @la leo ndiyo suluhisho. Ma DEO wamekuwa miungu watu elimu zao zinawatuma kutowajali wanyonge pia Tuwaombee au tuwaeleze ukweli uso kwa uso wakikuzingua waeleze wajue
 
Back
Top Bottom