Boss la DP World
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 1,997
- 7,552
Tumewafukuza wamasai Loliondo ili kuwapa waarabu kupaendeleza, tupo kwenye hatua za mwisho kuwapa DP World bandari zote za Tanganyika kuziendeleza, kuna tetesi kuwa misitu yote pia tumewapa watusaidie.
Nashauri tuwape wizara ya maji na wizara ya nishati ili watusaidie pia kusambaza maji ya uhakika na umeme nchi nzima.
Moderators mawazo hayapigwi rungu.
Nashauri tuwape wizara ya maji na wizara ya nishati ili watusaidie pia kusambaza maji ya uhakika na umeme nchi nzima.
Moderators mawazo hayapigwi rungu.