Ushauri: Baada ya miaka 5 bila kuajiriwa, hatimaye nimepewa mkataba

G45

Senior Member
Apr 21, 2016
163
94
Wasalaam!
Naomba nijikite moja kwa Moja kwenye mada husika, mimi ni muajiriwa mwaka wa tano sasa katika kampuni ya mtu binafsi bila ya mkataba lakini juzi tumeletewa mkataba ghafla tusign.

Je ni utaratibu gani nifuate ili kuusign mkataba huu coz tumefanyiwa kama surprise fulani hivi. Je hakuna malipo yeyote kabla ya kusaign?
 
Kimsingi, muone mwanasheria ili afanye uchambuzi mzuri wa vifungu vilivyopo kama vimekidhi matakwa kisheria na maslahi yako kwa ujumla yamelindwajwe, akupe tasfiri ya kila kilichopo kwenye mkataba ili ibaki kwako kuamua kusaini ama ala. Bila kuelewa tafsiri ya vifungu hivyo kwenye mkataba usiingie mkenge ukasaini maana yaweza kukugharimu.

Mbali na hayo, je stahiki zako za kipindi cha nyuma kabla ya kupewa mkataba ulilipwa?

Yote hayo ni mambo muhimu kisheria nitafute nikupe muongozo.
 
Na kwa miaka hiyo mitano pensheni yako ikizungatiwa
Au ndio mlikuwa hamtambuliki na ushapoteza mafao hayo kwa miaka mitano
 
Back
Top Bottom