Ushahidi wa Udikiteta ndani ya CHADEMA.

Status
Not open for further replies.
Dah! TUNTEMEKE unatisha! Ilipofungwa ID ya TII ukaja na ID ya PAA. Ilipofungwa ya PAA ukaja na Mtu Kwao. Ilipopigwa Bann na hiyo ukaja na ID ya Mwanahalis. Leo tena umeibuka na ID ya akiba ya Zawadi Ngoda. Inatosha kaka. Ngoja nimpigie simu Mbowe nimwombe basi upangiwe kazi ya Ulinzi pale Makao Makuu. Ile usiibe magazeti ya Chama na kwenda kuyauza kwa wauza maandazi.

Nakala: Molemo, Dudus, nk.

TUMBIRI (PhD, University of HULL - UK),
tumbiri@jamiiforums.com

Mmmmmm, Majina umenipa mengi ila umesahau matatu, Shirima, Mushi na Mungai. Vinginevyo Mbowe hata nipa kazi ya ulinzi.

Magazeti ya chama wakiyapata wauza maandazi ni bonge ya dili, maana wakisubiri wateja watasoma angalau jina la chama "CHADEMA" au Mbowe Au Mh Slaa.
 
Mods futeni huu uchafu.Tumechoka na upumbavu wa maneno haya kila siku.JF inakosa maana na heshima.

JF itapata heshima kwa kujadili hoja sio kufungia wanachama. Kama waona uwanja huu haukufai ni bora kutofungua au nenda kwenye foto na joki.
 
sio kosa lako!

JITAHIDI KUTUMIA UBONGO KUFIKIRI NA KUPAMBANUA MAMBO, MAKALIO YAACHIE KAZI YAKE.

Ushauri wako si mbaya. ila moja umelisahau, kuwa ujumbe huu wapitishie wote uwapendao ndani na nje ya chama.

Matumizi ya ubongo ni muhimu sana, na kama vyama vya upinzani vingegesikia na kutekeleza haya vingekuwa mbali. Na maanisha kwamba kama viongozi wake wangewachagua kutokana na uwezo wao wa akili na shule, vyama hivi vungeitoa CCM.

Mgombea uraisi wa Chama chechote lazima awe na uwezo wa kutumia ubongo wake kwa kiasi kikubwa sana na lazima awe flexible.
 
Wimbo uleule wa uchonganishi!

Cdm itaendelea kusonga mbele na M4C
MUNGU IBARIKI CDM
MUNGU MBARIKI DR SLAA
MUNGU MBARIKI ZITTO KABWE
MUNGU MBARIKI MBOWE
MUNGU WA BARIKI MAADUI ZETU WANAO OMBEA MABAYA CDM NA VIONGOZI WAKE.
MUNGU MPE NGUVU ZITTO NA SLAA KUIVUKA HII MITEGO MYEPESI YA WANACCMWELI.

MUNGU IBARIKI TANZANIA
 
May I ask ? why Zitto ? why not Msigwa, Why not Sugu ? why not Mnyika ? kwani demokrasia ni kumjali au kumpatia nafasi Zitto tu ? Maana kila niliposikia neno kuhusu UDIKTATA, UKANDA na UKABILA WA CHADEMA ni pale alipokosa fursa Zitto tu ! Mh, I stand to be corrected ! lakini pia nadhani wale wanaompigania Zitto they know what is likely going to happen to CDM in a negative way. Tena nina hakika watu hao wanaopigana usiku na mchana kutaka nafasi yoyote kubwa ndani ya CDM apewe Zitto ni forward line ya upande wa pili na huenda wanatafuta ngome nyepesi. Kwani kwa kuwa na yule Mwenyekiti au Katibu wa sasa kuna ubaya gani ? kama Zitto aligombea akakosa, ni busara kusubili, muda utafika atagombea tena, sijui katiba inasema nini kuhusu vipindi vya uongozi na ukomo wake. kwani mwisho wa hivi vyama ni leo ? why haraka haraka ? Wakati wa uhuru tungesema nyerere ni mtu wa musoma tunataka wa Mtwara, tusingefika. kwa uvumilivu wetu, tulimpata wa Musoma, Tukampata Mzanzibar, Tukampata wa Mtwara, Tumepata wa Bagamoyo and all that. TUNASUBIRI kutoka Tabora au Kigoma, Tumepungukiwa na nini ? Kama Zitto hakuchaguliwa mwanzo, nadhani asubiri tu.
Hii ndiyo tunaita "neno la busara."
 
CCM- Mweyekiti wa sasa alichaguliwa na mkutano mkuu wa CHAMA.

CUF- Prof Lipumba alimshinda Prof Safari katika uchaguzi mkuu wa chama hicho.

CHADEMA- Mtei alimuachia Mbowe. Na mbowe sijui atamrithisha nani?

Kumbe hata historia ya Chadema huijui? Mtei alimwachia Mbowe? Na Bob Makani je, alikuwa nani?
Anyway, kabla hujakimbilia kusema mambo ya udikteta ndani ya Chadema naomba utafute ile video ambapo Slaa amemjibu na kumvua nguo shujaa wako Sitta.
 
Uzalendo wa nchi yangu ndio ulionilazimu kuandika thread hii. Kuna wanaoniona kuwa mimi ni msaliti wa CHADEMA au naitakia mabaya. Si la kwanza wala la pili lililomo katka akili yangu. Vyama vya upinzani ni muhimu sana Tz na ninavipenda sana. Lakini siwezi kukaa kimya pale vinapokosea.

CHADEMA inafanya makosa makubwa sana, pale inapokaribisha vijana na inashindwa kuwatendea haki. Kuwanyika vijana nafasi za juu za uongozi wa Chama ni kuwakatisha tamaa. Wengine wameshakuwepo ndani ya bunge kwa miaka kumi sasa, huu nui uzoefu mkubwa. Kumbukeni, Bunge ni muhimili muhimu sana katika nchi. Na baadhi yao wameongoza kamati mbali mbali za bunge, na kufanya vizuri tu.

Hawa vijana ni lazima wapewe nafasi ndani ya chama, na si kuishia katika ubunge tu.
 
Kumbe hata historia ya Chadema huijui? Mtei alimwachia Mbowe? Na Bob Makani je, alikuwa nani?
Anyway, kabla hujakimbilia kusema mambo ya udikteta ndani ya Chadema naomba utafute ile video ambapo Slaa amemjibu na kumvua nguo shujaa wako Sitta.

Ohh, samahani Bob Makani naye aliachiwa, si uongo huyu nilimsahau kabisa. Lakini unajua kuwa hakukuwa na uchaguzi wowote, naye aliachiwa tu. Hiyo video ninayo niliiidownload. Alimjibu lakini alitoa juani tu, hakukuwa na la maana sana.
 
Ohh, samahani Bob Makani naye aliachiwa, si uongo huyu nilimsahau kabisa. Lakini unajua kuwa hakukuwa na uchaguzi wowote, naye aliachiwa tu. Hiyo video ninayo niliiidownload. Alimjibu lakini alitoa juani tu, hakukuwa na la maana sana.
Haijalishi kama hakukuwa na uchaguzi. The point is Mzee Mtei hakumwachia Mbowe.
 
Zawadi mada yako nzuri, hasa ktk Demokrasia imetuingia wengiingawa sio wapiga kura ila hao wana Ukanda wapembue wasiwe wakali tu
 
Sijui kwa nini msiwaache hawa wawili (Zitto na Mh Slaa) wakaingia ukumbini na kupiga kura ili atayeshinda ndio atakuwa muwakilishi wa CHADEMA katika kugombea urais. Hivi mnachoogopa ni nini?

Namba mnipe sababu angalau mbili, ili tuyajadili mambo haya kwa kina.
 
Mmmmmm, Majina umenipa mengi ila umesahau matatu, Shirima, Mushi na Mungai. Vinginevyo Mbowe hata nipa kazi ya ulinzi.

Magazeti ya chama wakiyapata wauza maandazi ni bonge ya dili, maana wakisubiri wateja watasoma angalau jina la chama "CHADEMA" au Mbowe Au Mh Slaa.
Mijitu kama wewe enz za mwalimu akitafuta uhuru ni kupewa kaz maalumu ya chama
 
Huna Jipya Ndugu yangu, jitambue nchi yetu Tanzania ili tupate maendeleo tunaitaji Rais Dikiteta, hivyo kajipange upya uje tena.

We acha tu, Ukishaonja Demokrasia Udikiteta hauna nafasi tena. Ni ndoto za mwendawazimu kufikiri kuwa Mtu yeyote anaweza kuitawala Tz kidikiteta. Atachofanikiwa ni kuchafua nchi tu lakini kukaa hatakaa.[/QUOTE]

Namaanisha udikiteta katika maamuzi yake, na siyo kuchekacheka ka mtu fulani.
 
Me natokea kigoma na ninamuunga mkono Zito karibia hatua zake zote za kisiasa,isipokuwa kwa hili la urais tena kuptia CDM naona bado mapema mno na zile suti za ikulu nyingi zitampwaya,asiwe na haraka mbona bado mda upo2020,2025 na 2030,ushauri:azidi kushirikiana na vimngozi wenzie katika kukijenga chama,coz siku hizi yupo mbali na shughili za chama,akumbuke upinzani sio kusifiwa na ccm,na kutumia vbuyombo vyao kumuaminisha anakubalika kitaifa,aangalie tilicho wafanyia ccm katka jimbo la muhambwe pale wapinzani tulipo uhadaa umma wa wanaccm na wananchi kwamba bwana Jamali anafaa na kubalika zaidi kwa wananchi kuliko wote,wakaingia kingi na kumpitisha mgombea kilaza tukachukua jimbo,ndicho wanachomfanyia Zitto,alafu awakataze na kuwazui watu wake kukichafua chama chake CDM,kwa kueneza propaganda za udini na ukabila+ukanda coz hiyo 2015 Mungu sio Mbwiga kikimteua agombee urais kupitia CDM atapata tabu,asizani kwa kuunga mkono juhudi za kumchafua dk Slaa ndiko kummaliza kisiasa coz hakuna ajuaye kesho hata mtunzi wa kalenda,na hakuna mwenye rufaa ya kifo:by0754926271
 
Me natokea kigoma na ninamuunga mkono Zito karibia hatua zake zote za kisiasa,isipokuwa kwa hili la urais tena kuptia CDM naona bado mapema mno na zile suti za ikulu nyingi zitampwaya,asiwe na haraka mbona bado mda upo2020,2025 na 2030,ushauri:azidi kushirikiana na vimngozi wenzie katika kukijenga chama,coz siku hizi yupo mbali na shughili za chama,akumbuke upinzani sio kusifiwa na ccm,na kutumia vbuyombo vyao kumuaminisha anakubalika kitaifa,aangalie tilicho wafanyia ccm katka jimbo la muhambwe pale wapinzani tulipo uhadaa umma wa wanaccm na wananchi kwamba bwana Jamali anafaa na kubalika zaidi kwa wananchi kuliko wote,wakaingia kingi na kumpitisha mgombea kilaza tukachukua jimbo,ndicho wanachomfanyia Zitto,alafu awakataze na kuwazui watu wake kukichafua chama chake CDM,kwa kueneza propaganda za udini na ukabila+ukanda coz hiyo 2015 Mungu sio Mbwiga kikimteua agombee urais kupitia CDM atapata tabu,asizani kwa kuunga mkono juhudi za kumchafua dk Slaa ndiko kummaliza kisiasa coz hakuna ajuaye kesho hata mtunzi wa kalenda,na hakuna mwenye rufaa ya kifo:by0754926271

Mnaposema hafai hivi mnamaanisha nini? Naomba maelezo ya kina ili nasi tufaidike. Cha msingi maelezo mengi yaelekee katika manufaa ya nchi zaidi kuliko CHAMA.

Kwa maelezo yuako inanipa picha kuwa klwa uelewavyo wewe CHAMA NI ZAIDI YA NCHI.

Na mwisho unaonaje kama Zitto na Mh Slaa wakapigiwa kura na atayeshinda atakuwa ameshinda.
 
We acha tu, Ukishaonja Demokrasia Udikiteta hauna nafasi tena. Ni ndoto za mwendawazimu kufikiri kuwa Mtu yeyote anaweza kuitawala Tz kidikiteta. Atachofanikiwa ni kuchafua nchi tu lakini kukaa hatakaa.

Namaanisha udikiteta katika maamuzi yake, na siyo kuchekacheka ka mtu fulani.[/QUOTE]

Dikiteta ni dikiteta tu hakuna tafsiri nyingine. Unaweza kucheka na bado ukawa dikiteta.
 
Niweke wazi kwenye hili la malipo. Silipwi hata senti tano, malipo yangu ni pale nyie mtapogeuka na kuelekea katika muelekeo mzuri, imara na madhubuti. Elewa, mafanikio ya CHADEMA ni mafanikio ya watanzania wote.

asante mkuu,lakini angalia palipo makalio yako panawaka moto ajab!!!!!!!!!!
 
Mnaposema hafai hivi mnamaanisha nini? Naomba maelezo ya kina ili nasi tufaidike. Cha msingi maelezo mengi yaelekee katika manufaa ya nchi zaidi kuliko CHAMA.

Kwa maelezo yuako inanipa picha kuwa klwa uelewavyo wewe CHAMA NI ZAIDI YA NCHI.

Na mwisho unaonaje kama Zitto na Mh Slaa wakapigiwa kura na atayeshinda awe ameshinda,hakuna sehemui nilipo tamka kwamba Zitto hafai,nilichosema kwa sasa zile suti za ikulu hazimtoshi vizuri may akizipeleka kwa fundi zikafanyiwe marekebisho,naunga mkono democracia na zikipgwa kura na atakaeibuka mshindi awe ndiyo huyo,kwa nini kwa 2015cmuungi mkono,kuna mambo ameshaindwa kuyasimamia vizuri siku hizi kama madini na hashirikiani na viongozi wenzake katika shughuli za chama,kam mikutano namaandamano mbalimbali katika operation za chama zaidi amekuwa akionekana kuwa karibu na vimngozi wa ccm ,hofu yangu wasiwe wanauundaa katika kuuepuka makundi ndani ya ccm na kumteua yeye kuyavunja makundi kwa kile cha bora wakose wote kama ilivyotumika kwenye vita ya uspika na inavyotaka kutumika UWT kwa kinna sofia na Kilango ;kisha wanakigoma tuonekane wasaliti wa mabadiliko kama ilivyowahi tokea kwa dk Kabulu.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom