Nilikuwa mjini leo, kulikuwa na jaribio la kumwibia mhindi fulani hapo nje ya barclays kwa kutumia pistol. Mwizi alizidiwa nguvu akateka taxi akatoroka nayo lakini amekamatwa maeneo ya Fire.
Ninachotaka kusema ni kuwa Tz ukimwambia polisi kuna watu wenye bunduki wamefanya tukio ni kama kushika sehebu ya web maana radio call zitatumika polisi watajipanga hadi wahalifu wakamatwe au angalau waswake kwa nguvu.
Tumeambiwa pamoja na waliokuwa na Dr Ulimboka kwende vituo vya polisi osterbay, sulender na central kueleza tukio, polisi hawakujali wakadai wasubiri hadi kesho yake.
Hili pekee ni ushahidi tosha kwamba polisi walihusika maana kwa utendaji wa jeshi la polisi ambalo mimi nalifahamu sana ni kwamba kama uhalifu ni wa kutumia bunduki, msako unakuwa si wa kawaida na unaanza mara moja. Kusita kwa polisi kunaonyesha walikuwa na taarifa maana angalao wangeweka vizuizi kwa polisi waliokuwa zamu.
Wanajamvi mnaonaje?
Ninachotaka kusema ni kuwa Tz ukimwambia polisi kuna watu wenye bunduki wamefanya tukio ni kama kushika sehebu ya web maana radio call zitatumika polisi watajipanga hadi wahalifu wakamatwe au angalau waswake kwa nguvu.
Tumeambiwa pamoja na waliokuwa na Dr Ulimboka kwende vituo vya polisi osterbay, sulender na central kueleza tukio, polisi hawakujali wakadai wasubiri hadi kesho yake.
Hili pekee ni ushahidi tosha kwamba polisi walihusika maana kwa utendaji wa jeshi la polisi ambalo mimi nalifahamu sana ni kwamba kama uhalifu ni wa kutumia bunduki, msako unakuwa si wa kawaida na unaanza mara moja. Kusita kwa polisi kunaonyesha walikuwa na taarifa maana angalao wangeweka vizuizi kwa polisi waliokuwa zamu.
Wanajamvi mnaonaje?