swissme
JF-Expert Member
- Aug 15, 2013
- 13,662
- 19,880
Hata mtoto wa raisi alisema hivyo nyang"au.Huna lolote mashaolewa na mafisadi nyie kamwe hamuwezi kuchukua nchi hii..
swissme
Hata mtoto wa raisi alisema hivyo nyang"au.Huna lolote mashaolewa na mafisadi nyie kamwe hamuwezi kuchukua nchi hii..
Habari nilizozipata muda si mrefu uliopita ni kwamba serikali imekamilisha ushahidi wa kesi ya Richmond... na watuhumiwa kufikishwa mahakama ya hakimu mkazi Kisutu muda si mrefu kuanzia kesho!
Hata mtoto wa raisi alisema hivyo nyang"au.
swissme
...kama ni kweli hamna atakaeamini kesi hii kuwa inafanywa kwa lengo jema....maana JK amekaa madarakani kwa miaka karibia 7 baada ya richmond scandal lakini hakukuwa na kesi....Hivyo itakua miujiza kuskia kesi hii sasa....na itakua mnadhihirisha yale yalisemwa sana kuhusu utawala wa JK kuwa ni wa visasi....haswa pale anapokua amehitilafiana na wale aliofanya nao....Kesi hii kama kweli iafunguliwa itazidi kumpandisha hadhi Lowassa....as opposed to what they think....Kwasasa ccm wajue tu kuwa wameshikwa pabaya mno...yale waliyokuwa hawataki yatokee sasa yanatokea...This to me is the beginning of a very fast downfall for ccm....upepo huu hauzuiliki kwa mikono...
Habari nilizozipata muda si mrefu uliopita ni kwamba serikali imekamilisha ushahidi wa kesi ya Richmond... na watuhumiwa kufikishwa mahakama ya hakimu mkazi Kisutu muda si mrefu kuanzia kesho!
Nitatafurahi sana sana huyu jamaa anajiona kama Mungu bila yeye eti hakuna kiongozi bora peleka mahakamani ijulikane kuwa kuiba ni hatari
hawa jamaa wasituchafulie hali ya hewa nchini kwa uroho wao wa madaraka. Hivi richmond inaweza kutumia miaka 8 to build a case!! Walikuwa wapi!!?
Subirini tu hilo fisadi lenu mlilolipokea likipanda kizimbani....ndipo mtajua kama Serikali huwa inashindwa kesi...wajomba zenu kina Yona na Mramba wako wapi?
Habari nilizozipata muda si mrefu uliopita ni kwamba serikali imekamilisha ushahidi wa kesi ya Richmond... na watuhumiwa kufikishwa mahakama ya hakimu mkazi Kisutu muda si mrefu kuanzia kesho!
kampuni haipo kesheria. Hakuna kesi. PERIOD
Na hiyo ndiyo sababu kuu ya watu kushtakiwa, siyo kampuni. Kuingia mkataba na kampuni fake ambayo haipo...CHADEMA mnalo na fisadi lenu kuu
unabisha upelelezi ulifanywa na wataalamu toka marekani sasa utaona
hakuna kesi ya richmond wewe.
richmond ilikua ni majungu tu....
hamna namna ikulu mwaka huu ni ya ukawa...kama ni kweli hamna atakaeamini kesi hii kuwa inafanywa kwa lengo jema....maana JK amekaa madarakani kwa miaka karibia 7 baada ya richmond scandal lakini hakukuwa na kesi....Hivyo itakua miujiza kuskia kesi hii sasa....na itakua mnadhihirisha yale yalisemwa sana kuhusu utawala wa JK kuwa ni wa visasi....haswa pale anapokua amehitilafiana na wale aliofanya nao....Kesi hii kama kweli iafunguliwa itazidi kumpandisha hadhi Lowassa....as opposed to what they think....Kwasasa ccm wajue tu kuwa wameshikwa pabaya mno...yale waliyokuwa hawataki yatokee sasa yanatokea...This to me is the beginning of a very fast downfall for ccm....upepo huu hauzuiliki kwa mikono...