PISTO LERO
JF-Expert Member
- Mar 8, 2011
- 2,819
- 1,454
Jamani wakati wa sherehe za miaka hamsini ya Tanganyika,Gàvana wa Benki kuu ya Tanzania aliwaahidi Watanzania kuwa Benki Kuu itatengeneza Sarafu kama kumbukumbu maalum ya miaka hamsini ya Tanganyika na kuuzwa kwa watanzania kama si kugawiwa.
je Sarafu hizo zikowapi?
je Sarafu hizo zikowapi?