Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 75,017
- 156,456
LOWASSA naye ni mbabe kama MangeKimambichadema tangia dr slaa aondoke imekufa haina dira wamemezwa na luwasa.imefika hatua hata mbowe anapigwa mkwara
LOWASSA naye ni mbabe kama MangeKimambichadema tangia dr slaa aondoke imekufa haina dira wamemezwa na luwasa.imefika hatua hata mbowe anapigwa mkwara
kwa nini unadhani shamba alililima slaa peke yake na sio na mbowe,zitto,mnyika,mdee,lissu?Kumbuka tu 2010 Chadema ilisimama peke yake, halafu 2015 viliungana vyama vingapi.?
Ukitaka kujua mchango wa Dr Slaa Nenda kwenye uchaguzi wa serikali za mtaa 2014......hapo ndio utajua hata kura na mafanikio ya 2015 mizizi ni 2014.
Huyo Lowasa amekuja kwenye shamba ambalo tayari limeshalimwa.
I truly remember those days walahi!Mbowe na Lowassa Nani msaliti?
Mbowe kawasaliti watanzania wapinzani waliokuwa wameujenga upinzani Kwa Hali na mali,
CCM mafail yote ya Lowassa wanayo na Lowassa ni mnyonge, kuna mengi hayasemi kuwahadaa watu,
Ila mbowe msaliti
Kwa sababu anaeshambuliwa katika wote hao ni Dr Slaa pekee.kwa nini unadhani shamba alililima slaa peke yake na sio na mbowe,zitto,mnyika,mdee,lissu?
Hahahahachadema tangia dr slaa aondoke imekufa haina dira wamemezwa na luwasa.imefika hatua hata mbowe anapigwa mkwara
Yaani wewe Nyani mtu akishakuwa upande wa huyo ngosha mwenzako unamtetea tu. "I wish I kudu be IGP"!Nimekuwa nikisoma soma humu tokea 2015 kutoka kwa baadhi ya watu kuwa eti aliyekuwa katibu mkuu wa CHADEMA na mgombea urais wa chama hicho mwaka 2010, Dkt. Wilbroad Slaa ni msaliti.
Eti ni msaliti kwa sababu aliamua kuachana na siasa baada ya CHADEMA kuamua kubadili gia angani. Pia, baada ya kuachana na siasa akakataa pia kumuunga mkono mgombea wa UKAWA, Edward Lowassa.
Sioni kabisa usaliti wa Dkt. Slaa hapo. Ninachokiona ni mtu mwenye msimamo na uadilifu na anayeongozwa na kanuni.
Hivi kweli kabisa mtu na akili yako timamu, kati ya Slaa na CHADEMA, unaweza kumwona Slaa ndiye msaliti?
Kama kuna msaliti basi msaliti huyo ni CHADEMA na si Dkt. Slaa.
CHADEMA walisaliti karibu kila kitu walichokipigania wakiongozwa na Dkt. Slaa. Ni CHADEMA ndiyo waliobadilika. CHADEMA ndiyo wasaliti.
Nyie wote mnaodiriki kumuita Dkt. Slaa kuwa ni msaliti ni vifuu tundu msiojielewa kabisa.
ahaa wapi! influenced by mama mushumbu, baada ya kulazwa njeSlaa hajabadilika.
Alimkataa Lowassa wakati Lowassa yupo CCM na akamkataa alipoenda CHADEMA.
Huyo ni mtu mwenye msimamo. Mtu mwenye kanuni.
Sioni kabisa usaliti wake.
Waulize kwanini EL hakwenda ACT au NCCR? Sijui tumerogwa? Alafu wanavyokomaa sasa! Dr Slaa msaliti! Wametusaliti alafu wanapiga propaganda! Hata "kiongozi" wao Mange anajua vizuri huu usanii ila anawamezea tu ....ipo siku watajua uzuri sumu haijaribiwi kwa ulimi!Kumbuka tu 2010 Chadema ilisimama peke yake, halafu 2015 viliungana vyama vingapi.?
Ukitaka kujua mchango wa Dr Slaa Nenda kwenye uchaguzi wa serikali za mtaa 2014......hapo ndio utajua hata kura na mafanikio ya 2015 mizizi ni 2014.
Huyo Lowasa amekuja kwenye shamba ambalo tayari limeshalimwa.
Kabisa ....walichomfanyia yule mzee hadi akakimbia nchi baada ya kuanza kutegemea Policcm kumlinda ambao kwa wakati ule kujihakikishia ulinzi huo ilikuwa ngumu! Vijana aliowalea mwenyewe wanamgeuka na kumuita msaliti kisa kumpokea EL! Hii dhambi lazima iwatafune CDM hadi watubu hadharani! Karma ni hapa hapa ingawa si kitu kizuri ...Usaliti wa Dr slaa umegawanyika katika makundi makuu matatu
1. Kukataa kubadili gia angani
2. Kukataa kumpokea lowasa
3. Kusimamia kile anacho kiamini.
Ungekuwa na hoja ungeishasikilizwa. Bidii hiyo kaitumie kwenu kujenga chama chenu ili muachane na kuhangaika na kununua watu.Hizi ndizo hoja mlizobakiwa nazo!
Kufirisika kihoja ni kubaya sana!
Umejuaje kama anatoa povu lakini pia hata kama anatoa povu, umejuaje anatoa povu kwa ajiri ya kupata uteuzi?
Ina maana wewe hutoa povu kabla hawajafanya uteuzi?
Baadhi ya watu wakisema ninyi ni makarai mnaanza kupiga kelele?
ni lazima ujiulize kwa kulinganisha asilimia... Dkt. Slaa kulinganisha na Kikwete alipata asilimia ngapi za kura kulinganisha na alizopata Lowassa kwa Magufuli?linganisha kura milioni mbili za mwaka 2010 na milioni sita za 2015
kama hata hujui hesabu za kujumlisha na kutoa mimi siwezi kukusaidia
Si na hawa?kwa nini unadhani shamba alililima slaa peke yake na sio na mbowe,zitto,mnyika,mdee,lissu?