Kimbunga
Platinum Member
- Oct 4, 2007
- 14,941
- 9,947
Aaaah Godbless J Lema wewe ni shujaa na si mnafiki sasa kwa nini hapa unapepesa macho si useme tu mtu huyo ni nani ili nasi tumjue!Mtu huyu wote tunamjua ni matumaini yangu Usaliti wake sasa utafika kikomo kama Chama kitaamua kuwa na busara za kutosha katika kujenga siku njema zinazokuja . Mtu huyu amefanya mambo mengi mabaya katika Chama yanayohusu usaliti na amewaponza Vijana wengi na kuangamiza ndoto zao kwa sababu ya mambo yake binafsi .
To me, the thing that is worse than death is betrayal. You see, I could conceive death, but I could not conceive betrayal. Malcolm X
Lema Godbless - Mp
Last edited by a moderator: