Mkuu, Karate inayofundishwa misikitini! Wewe hishtuki? Anayesema ni Sheikh ambaye anayaona! Na madhumuni ya karate na vikundi hivyo anajua fika sio anaasimuliwa! Hayo ndiyo mafunzo ya ugaidi! Kwa sasa hivi wanaleta rabsha misikitini na baadaye ndo wanachoma makanisa! Fungua macho uone!Kumbe Kareti ni ugaidi basi taifa la China wote ni magaidi, Kareti ni utamaduni wao.