Usalama wa rais wetu

Jack Beur

JF-Expert Member
Feb 26, 2010
222
246
Naomba kuuliza haya mazoea aliyonayo Rais wetu ya kukumbatiana na watu hayahatarishi kweli usalama wake? Hasa enzi hizi za zama za ugaidi (suicide bombers na Biological weapons terrorism) au kwa vile nchi yetu ni kisiwa cha amani?

Imekuwa ni mazoea kuona mara kakumbatiana na wasanii, marafiki zake wa zamani, wanaorudi CCM kutoka upinzani na watu wengine wengi.

Yes tunajua ana kikosi chake cha kumlinda lakini sidhani kama muda wote wanakua stand by maake wakumbatiaji wengine huwa wanatokea kwenye mikutano yenye watu wengi ambapo sidhani kama huwa kuna security check up in advance.
 
Naomba kuuliza haya mazoea aliyonayo Rais wetu ya kukumbatiana na watu hayahatarishi kweli usalama wake?

Sasa ulitaka akumbatiane vijiti? Ndio maana ana ulinzi.... wana utaalamu wa khakikisha mambo kama hayo hayatokei... japo sio kwa asilimia 100%.
 
Naona mazoea mazuri tu kwa sababu tutakuwa tunapunguza gharama kwa walipa kodi na mafisadi kupungua au wewe unaonaje?
 
mwache akumbatie mpaka michungwa na minazi na mipapai ...amdhuru nani...kwa lipi hasa...hata akitembea kwa miguu toka ikulu mpaka mwananyamala hakuna wa kumdhuru
 
Na pia aache kugawa pipi kwa watoto.......inatishia usalama wa Rais...........lol
 
Uwanja wa ndege nilimuona jk akipeana mikono na wananchi mbali mbali.
nilishuhudia akiwapa mikono kila aliekaribu na yeye ni staili ya obama ya kusalimia.
miaka mingi imepita kuona rais wa tz akipeana mikono hata watu wa chini tena kwenye mkusanyiko wa watu mbali mbali
nilijiuliza kwanza kwanini?
lkn majibu yakwa ni simple
1) rais anaependwa na watu
2) rais mpenda watu
3) usalama wa nchi upo juu.
4) maisha ya watz angalau yamekuwa mazuiri kwa hivyo kila mtu anataka asalimianme nae
Ni rahisi kusema unachosema lakini si kweli unayoyasema. Pole kama unamwelewa hivyo, lakini wengine wetu hatutakubaliana na unachosema. Kama unapenda aonekane hivyo, hapo umepatia
 
Uwanja wa ndege nilimuona jk akipeana mikono na wananchi mbali mbali.
nilishuhudia akiwapa mikono kila aliekaribu na yeye ni staili ya obama ya kusalimia.
miaka mingi imepita kuona rais wa tz akipeana mikono hata watu wa chini tena kwenye mkusanyiko wa watu mbali mbali
nilijiuliza kwanza kwanini?
lkn majibu yakwa ni simple
1) rais anaependwa na watu
2) rais mpenda watu
3) usalama wa nchi upo juu.
4) maisha ya watz angalau yamekuwa mazuiri kwa hivyo kila mtu anataka asalimianme nae
Hapo furaha yako iko juu kama vile umenyakua kombe la dunia, doh!
:sick:
 
Back
Top Bottom