Unataka kuoa au unataka kumtengenezea permit na Uraia kwa gia ya ndoa?Habari zenu wakuu,
Naomba muongozo mchumba wangu ni raia wakigeni na anaruhusiwa kuingia hapa Tanzania na free visa sasa nataka akifika hapa nimuoe je nitaluhusiwa kama yuko na free visa entry Asanteni.