Wakuu jamvini kuna mdogo wangu 1st year amepata mkopo lakini jina lake halionekani kwenye orodha ya majina yaliyotumwa kwenye chuo chake amejaribu kufuatilia ofisi ya mikopo chuoni hapo akaambiwa kuna batch nyingine itatoka,wenye uzoefu tafadhali utaratibu umekaaje katika hili?