Malengo Jr
JF-Expert Member
- Aug 19, 2013
- 287
- 99
Jeshi la polisi nchini limetoa orodha ya vijana wa kidato cha 4 wa mwaka 2012 na wale wa kidato cha 6 wa mwaka 2013 walioitwa kwenye usaili wa kujiunga na jeshi hilo. Vijana hao ni miongoni mwa wale waliojaza selform kabla ya kuhitimu masomo yao. Kujua kama wewe ni miongoni mwa walioitwa kwenye usaili, tafadhali tembelea website ya jeshi hilo ambayo ni; www.policeforce.go.tz