Sizinga
Platinum Member
- Oct 30, 2007
- 9,102
- 6,034
Haha Mwl Jotta(RIP) aliumwaga uti wa mgongo nadhani ndo ulimondoa duniani...mama mwangata mpaka leo ndo mkuu pale, Joji Mtawanga ni Operator wa DOZER, anawajibika...ingawa yupo sana kitaa/juu ya mawe bt anapambana kibishi.Madam B una jua na mimi nimepita ligula primary skuli,mwalimu masari alikua ana ng'ata pua yule mzee halafu mwalimu jotta alikua ana matusi ya nguoni yule mama,enzi zile mwalimu mkuu mama mwangata kila mwaka ana mimba daah.george mmangaribi ndio alikua mtaalamu wa kucheza ngoma ya mganda.huu uzi raha tupu una nikumbusha mbali sana.