Usafiri wa Dar - Mtwara umenikosha roho

Madam B una jua na mimi nimepita ligula primary skuli,mwalimu masari alikua ana ng'ata pua yule mzee halafu mwalimu jotta alikua ana matusi ya nguoni yule mama,enzi zile mwalimu mkuu mama mwangata kila mwaka ana mimba daah.george mmangaribi ndio alikua mtaalamu wa kucheza ngoma ya mganda.huu uzi raha tupu una nikumbusha mbali sana.
Haha Mwl Jotta(RIP) aliumwaga uti wa mgongo nadhani ndo ulimondoa duniani...mama mwangata mpaka leo ndo mkuu pale, Joji Mtawanga ni Operator wa DOZER, anawajibika...ingawa yupo sana kitaa/juu ya mawe bt anapambana kibishi.
 
Asante mleta uzi maana umenikutanisha na mmoja wa watoto tuliocheza utotoni Indian kota.
....yaani ilikuwa ikifika msimu wa embe, mtoto hatumwi dukani...ukimtuma tu, haooooo kwenye miembe.
Unapakumbuka kwa Mzee Mwakyoma, baba Hanifa, Mzee George....kule ng'ambo kwa mama Salama alikuwa na mapacha 2 wa kiume.
Unapakumbuka kwa kina Rehema, nyumbani kwao ndio kulikuwa na mipapai mitamu kota nzima, watu tulikuwa tunaamka saa 9 usiku tunaenda kupanda fensi ili kuiba mapapai.
Unakumbuka mibuyu ya pale bwawani?
Aiseeee.....hivi unamjua Ishumi Fadhili?
alikuwa mtoto toka Chikongola, akakosea step akaja kutuchokoza watoto wa kota....alichokipata, alihama mpaka shule
Hahahaaa, hivi Ishumi yupo wapi? Nakumbuka kuna mtoto wa Lipwelele akiitwa Ishumi (kama sijakosea)...No ni Ishumi na Kabyee, yah hawa pia ni ndugu, mabrazamen wa enzi hizo wakiendesha magari...dah tukiwaona wa mbele kinoma!! Hahahaa, kwa Mwakyoma karibu na kwa Bambo pale juu, kulikuwa na jogoo flani ukienda kuokota embe na ukaingia anga zake anakufurumusha mbaya@!! yule Jogoo(kuku) alikuwa balaa sana, mimbwa ya pale ilikuwa nouma!!
 
Mwl. Jotta alifariki mwaka 1999 Mwalimu Mwangata bado yupo hadi leo ni Mwl. Mkuu mwl. Mrekoni amefariki mwaka huu nayeye. Walimu wengine wengi wamehama pale
Nahhisi we ni classmate angu hakiya Mungu...!! Otherwise hatujapishana zaidi ya miaka tuwili..LOL
 
Mwl. Jotta alifariki mwaka 1999 Mwalimu Mwangata bado yupo hadi leo ni Mwl. Mkuu mwl. Mrekoni amefariki mwaka huu nayeye. Walimu wengine wengi wamehama pale
Chimpepo yupo, Mwl Fundi yupo, Mwl Munga, Mwl Mandanda...nachiputa sina uhakika sana!! Mwl Mwingira ashastaafu..vp huyu unamfahamu?
CC Madame B

10690026_558291617638062_541537118733610849_n.jpg
 
Last edited by a moderator:
Hahahaaa, hivi Ishumi yupo wapi? Nakumbuka kuna mtoto wa Lipwelele akiitwa Ishumi (kama sijakosea)...No ni Ishumi na Kabyee, yah hawa pia ni ndugu, mabrazamen wa enzi hizo wakiendesha magari...dah tukiwaona wa mbele kinoma!! Hahahaa, kwa Mwakyoma karibu na kwa Bambo pale juu, kulikuwa na jogoo flani ukienda kuokota embe na ukaingia anga zake anakufurumusha mbaya@!! yule Jogoo(kuku) alikuwa balaa sana, mimbwa ya pale ilikuwa nouma!!

Ishumi alikuwa maarufu sana na zamani Lipwelele si alikuwa anakaa pale opposite na kwa Mbelenje kabla hajahamia Shangani.. na watoto wake karibia wote walisomaga Ligula
 
Yaani leo nimecheka nwenyewe hapa mpaka wananishangaa sure Mtwara nikisikia sikuiz mara hiki mara kile nikikumbuka hizi stori nacheka sana.
Maana maeneo mengi enzi hizo kulikuwa porini kabisa kule shangani ndio kabisaa vichaka tupu.

mnaenjoy sana leo mi nlikua kazini kule!!
nilikua nakaa maeneo ya half london
 
mayele hakua mwalimu mkuu alikua mwalimu wa hesabu darasa la saba,mwalimu mkuu alikua mama mwangata....nime mkumbuka subiri ngelezani alikuaga kila mwaka anashika mkia kwenye darasa lao ha ha haaa...enzi hizo niza bado anapiga soka kishule shule,wapi haidari jafari na majula.ha ha ha.
Ngerezani(SUBANGE) aliushangaza UMMA baaada ya kufaulu std 7 akachaguliwa sabasaba sec...dah karibu Mtwara nzima walijua hili...unamkumbuka mtoto wa Sanga yule dem nzuri kupita wote...alipigwa fimbo na Nachiputa akaenda kumwambia babake...(Usalama wa Taifa) likaja karandinga kumchukua mzobemzobe akapelekwa kunyea ndoo sero pale centarl polisi....
Alivyorudi akawa mkali mara mbili yake...dah alitubutua sana na kikono chake kile
 
Hahahahahahahaha..hapana chezeiya huu uzi aisee!!hadi Madame B kasanuka kijogoo kilichomkata utepe!!!
"Side huyo,Side huyo,Mnyamweeezi!!"...hahahahahahaha acha muvi liendelee.
Home Sweet Home!

kunoga mweee kujikuta nasemaaaaaaaaa weeeee..Ila sio kweli....
 
Last edited by a moderator:
Ile nyumba ya baniani sijui bado ipo au huo ujenzi wa barabara mpya wamebomoa ila nakikumbuka sana Tena Lori la kuni likipita baada ya kumaliza kuchoma wamama wakianga walikuwa wanaendaga kuokota vipande vya kuni.. chezea fursa wewe..!!

Ila madam mlipinda sana hadi mkamchoma paka lmaoo!!!

Nahigi kitalywepo tuuu
 
Chimpepo yupo, Mwl Fundi yupo, Mwl Munga, Mwl Mandanda...nachiputa sina uhakika sana!! Mwl Mwingira ashastaafu..vp huyu unamfahamu?
CC Madame B

10690026_558291617638062_541537118733610849_n.jpg

Mwl. Manento Jamanii si ndio kafiwa na babake yule muigizaji wa kaole Mzee Manento R.I.P. Alihama Ligula na kuhamia Shule ya msingi Mwenge Iko Tabora.. sijui bado yupo huko au yuko mjini.. Nampenda sana huyu mwalimu alitufundisha English shule na tuition zake kila jumamosi pale Pentecoste dah
 
Last edited by a moderator:
Jamani hivi kweli Mwl. Mayele alifariki ?? (R.ip) Siamini bado kila mtu anasema lake jamani.

Mashamba yalishakufa zamani Ile minazi inagemewa pombe na mwl. Mayele ndio alikuwa anapenda sana mazingira nakumbuka ndiye alitufundisha wimbo wa Shule. Mwl. Chimpepo mzee wa Riadha sijui yuko wapi nae.
MAYELE alishafariki nadhani miaka ya 2000, ujue kuna uzushi ulitokeaga pale...agh anyway ngoja nimute tu(RIP OUR TEACHER)
 
Mwalimu dodi nae ni marehemu kafa kwa ngoma,mayele naskia alirudi kwao nachingwea huko full kunywa matapu tapu akawa kama amedata hivi ila sijui km ni marehemu sasa!!
DODI sijasikia kama kafa manake alijiendeleza akawa mkufunzi pale TTC, labda manake sikuhizi mambo ni mengi sana
 
Nizar ni product ya LIGULA PRIMARY SCH..Ni wa Mwangata yule dogo!!

Ligula imetoa wengi tu D. Knob kapitia pale. Marehemu Rehema Mwakangale pia kapitia pale.. Mh Sugu naye kapitia pale St 1 - 4 ndio akaenda Mbeya then akarudi form three pale Sabasaba na kumalizia form four pia palepale.
 
Hahahahaha......sasa nyumba ya baba Hanifa hii
yetu ilikuwa ile ya nyuma yake, Baba Hanifa alikuwa na mwanae Saidi, mwembambaaaaaa, hahahaha maskini bikira yangu, Saidi mbaya weweeee....hahahhaha.
Nasikia pacha mmoja alifariki jamani aliumwa.
Unakumbuka tulipokuwa tunacheza rede ya vipande?...kuleeeeee kwenye mwembe karibu na kwa Mzee Mwakyoma
Alaaah kumbe side ndo alitoa bikra...Uwiiiiiiii, mi hoi
 
Back
Top Bottom