Urusi yaomba msaada Marekani wa kupambana na Corona

Sexer

JF-Expert Member
Oct 22, 2014
8,216
7,911
Urusi imesema leo kwamba inashughulika kupata msaada kutoka Marekani baada ya nchi hiyo kuripoti kupungua kwa kiwango cha visa vya maambukizi ya virusi vya corona kwa usiku mmoja hali ambayo haijawahi kutokea tangu Mei 1.

Hata hivyo, nchi hiyo ambayo idadi yake jumla ya walioambukizwa ni 290,678 ni ya pili kati ya nchi zenye maambukizi mengi zaidi baada ya Marekani imesema hali bado ni ngumu baada ya maafisa kuripoti visa vipya, 8,926 vya maambukizi.

Naibu waziri wa mambo ya nje, Sergei Ryabkov amesema Urusi inashughulikia suala la kupata msaada wa tiba kutoka Marekani ili kusaidia kukabiliana na kirusi hicho.

Jana iliripotiwa kwamba waziri wa mambo ya nje wa Marekani, Mike Pompeo alisema nchi yake itapeleka vifaa kadhaa vya upimaji na mashine za kusaidia upumuaji kuisadia nchi hiyo kuudhibiti mgogoro huo na kwamba vifaa hivyo tayari viko njiani.
 
Kama ni kweli ni kuwa sio kwamba inahitaji msaada kutoka kwao bali ni kuwa wanataka waonyeshe umoja na ushirikiano ktk janga hili, pia misaada haina maana kuwa wanaitaji hela, mtu anapokuambia anataka msaada pengine ata wa mawazo, hata maisha ya kawaida tajiri huwa anataka msaada wa maskini humu mitaani mwetu.
 
Kama ni kweli ni kuwa sio kwamba inahitaji msaada kutoka kwao bali ni kuwa wanataka waonyeshe umoja na ushirikiano ktk janga hili, pia misaada haina maana kuwa wanaitaji hela, mtu anapokuambia anataka msaada pengine ata wa mawazo, hata maisha ya kawaida tajiri huwa anataka msaada wa maskini humu mitaani mwetu

Sent using Jamii Forums mobile app
Vifaa kadhaa vya upimaji na mashine za kusaidia upumuaji viko njiani kuisaidia Urusi katika mapambano ya corona.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio nimekusudia haina maana kuwa ndio inaitaji msaada yaani kama sisi ila ni kuonyesha ushirikiano ndio lengo kuu, ata matajiri wanapeana V8 ni kawaida sana mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
Urusi ana upungufu wa hivyo vifaa yuko busy sana kutengeneza makombora, hata US hapo mwanzo alikuwa na uhaba huo ila kwa kuwa yeye msuli wake ni mkubwa baada ya janga kushamili akaanza kuvizalisha kwa wingi na sasa anasaidia nchi kibao tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
CHUKUA HII BASI, kama ana upungufu kwa nn Aliwapa Italy misaada mengi sana, akawapa Venezuela, China aliwapa misaada Urusi, pia Uturuki aliwapa misaada marekani, Pia marekani ilishawahi kuiba box nyingi za tools zilizokua zikipelekwa Ulaya hio habari ilivuma sana, Je unajua kuwa India ilisitisha uuzaji wa madawa yake kutoka nje na Marekani akawa anawapa biti wauze kwa lazima?
Urusi ana upungufu wa hivyo vifaa yuko busy sana kutengeneza makombora, hata US hapo mwanzo alikuwa na uhaba huo ila kwa kuwa yeye msuli wake ni mkubwa baada ya janga kushamili akaanza kuvizalisha kwa wingi na sasa anasaidia nchi kibao tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Russia sends three batches of fabric for face masks to Iran in humanitarian aid

#Russia #CoronaVirusIran @RusEmbIran

Russia sends three batches of fabric for face masks to Iran in humanitarian aid

Hio leo imetokea Urusi imewapelekea Iran misaada na sio kama Iran hana hivyo vitu, ina maana wanaonyesha Relationship between 2 countries

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sexer,
Badala wamuombe Magufuli wanahangaika na mtu mwenye wagonjwa wengi. Wonders shall never end. Kitu nyungu malimao korona anatoka nduki.
 
CHUKUA HII BASI, kama ana upungufu kwa nn Aliwapa Italy misaada mengi sana, akawapa Venezwela, China aliwapa misaada Urusi, pia Uturuki aliwapa misaada marekani, Pia marekani ilishawahi kuiba box nyingi za tools zilizokua zikipelekwa Ulaya hio habari ilivuma sana, Je unajua kuwa india ilisitisha uuzaji wa madawa yake kutoka nje na marekani akawa anawapa biti wauze kwa lazima? Russia sends three batches of fabric for face masks to Iran in humanitarian aid

#Russia #CoronaVirusIran @RusEmbIran

Russia sends three batches of fabric for face masks to Iran in humanitarian aid


Hio leo imetokea Urusi imewapelekea Iran misaada na sio kama Iran hana ivyo vitu, inamaana wanaonyesha Relationship between 2 countries

Sent using Jamii Forums mobile app
Kipindi hicho Russia alikuwa hajamatwa kisawasawa na janga na US alikuwa hazalishi ventilators na mashine za kupimia za kutosha, pia kumbuka ventilators za Russia hazitumiki kwa sasa baada ya ule mlipuko wa hospitalini na inahofiwa chanzo ni ventilators kwa hiyo Urusi anaupungufu wa ventilators na mashine za kupimia. Masaada aliotoa kwa Iran ni barakoa, Sasa sijui Iran anafel wapi anapunguwa hadi barakoa utafikiri tatizo limeanza sasa! Rafiki ya mzungu ni Mzungu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kipindi hicho Russia alikuwa hakamatwa kisawasawa na janga na US alikuwa hazalishi ventilators na mashine za kupimia za kutosha, pia kumbuka ventilators za Russia hazitumiki kwa sasa baada ya ule mlipuko wa hospitalini na inahofiwa chanzo ni ventilators kwa hiyo Urusi anaupungufu wa ventilators na mashine za kupimia. Masaada aliotoa kwa Iran ni barakoa, Sasa sijui Iran anafel wapi anapunguwa hadi barakoa utafikiri tatizo limeanza sasa! Rafiki ya mzungu ni Mzungu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani Marekani alifeli wapi hata akaiba mabox ya madawa na barakoa akawa hataki kuyatoa kuyarejesha Ulaya hahahahaha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Waanze kujifukiza na wao. Maana huku kwetu vili vifaa vilivyotiliwa mashaka ya kutoa majibu ya uongo, sasa hivi vimesema idadi imepungua. Nahisi ni sababu ya kufikiza, nao waanze.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom