Urusi sasa ni no fly na no fleet zone

ipo siku marekani atakuja ajichanganye aombe mechi ya kirafiki na hawa jamaa sijui siku hiyo kama ulimwengu utaendelea kuexist. jamaa anatamba syria NATO na kaka yao wanalialia kwenye corridors za Brussels. haha
 
W
Wewe jamaa ndye muongo sugu.
Mosi, No fly zone applies only to Belligerent Vessels.

Pili, Civil aircraft kimataifa hazitambuliki kama ni state aircrafts.

The CHICAGO CONVENTION OF 1944 on CIVIL AVIATION CONFIRMS THAT.
Article 3 of the convention reads.
Civil and state aircraft :
(a) This Convention shall be applicable only to civil aircraft, and shall not be applicable to state aircraft.
(b) Aircraft used in military, customs and police services shall be deemed to be state aircraft.
(c) No state aircraft of a contracting State shall fly over the territory of another State or land thereon without authorization by special agreement or otherwise, and in accordance with the terms thereof.
(d) The contracting States undertake, when issuing regulations for their state aircraft, that they will have due regard for the safety of navigation of civil aircraft.

Hapa Chief huna hoja. Au ndiyo mahaba niue?

Tatu, No fleet zone only applies to military vessels and not civilian vessels.
THE UNITED NATIONS CONVENTION ON THE LAW OF THE SEA of 1982, provides for THE RIGHT OF INNOCENT PASSAGE for every civilian vessel.

Article 17 of the Convention reads.
INNOCENT PASSAGE IN THE TERRITORIAL SEA SUBSECTION
A. RULES APPLICABLE TO ALL SHIPS
Article 17 Right of innocent passage Subject to this Convention, ships of all States, whether coastal or land-locked, enjoy the right of innocent passage through the territorial sea.

Huna Coherence mzee jipange upya harafu usipende kukurupuka unajidhalilisha kama hivi.

Tatu, Unauliza manowari ilikuwa wapi,
nani kasema Black Sea yote ipo Urusi?
Hizo manowari za kivita umeziona zimeingia territorial waters za URUSI?
Wewe Ndo umeprove kuwa muongo ndo maana umekuja na clarifications za belligerent vessels as opposed to all vessels, Black Sea inaishia wapi etc. Otherwise the original statement as it is inakuwa uongo!!! In fact, maelezo yako yote yanani support mimi!!!!
 
Kama unajua utajiri na umasikini ni relative term; kwanini usijue kwamba natumia Comparative Advantage Theory ya David Ricardo as Opposed to Absolute Advantage Theory ya Adam Smith?
Au kuna Principle nyingine ya Internatinal Trade and Finance ambayo wewe umeitunga?
Unachekesha! Ntajuaje unatumia theory ipi wakati kuna theories kibao! Ni jukumu lako kusema utajiri wa urusi nimeu-determine Kwa kutumia theory fulani. Mie nimekupa links, toa Na wewe zako au shusha shule in details! Ngoja nione kwanza Kama hiyo theory uliyoitoa Ni relevant Kwa scenario yako.
 
W

Wewe Ndo umeprove kuwa muongo ndo maana umekuja na clarifications za belligerent vessels as opposed to all vessels, Black Sea inaishia wapi etc. Otherwise the original statement as it is inakuwa uongo!!! In fact, maelezo yako yote yanani support mimi!!!!

Ata me nmeshangaa asee,najiuliza kwan ni nchi gani dunia hii ni "Yes fly zone and Yes fleet zone!?"...Unajua mijitu inachangia tuu kwa fujo bila kufikiria uhalisia na maana ya hii Mada
 
Unachekesha! Ntajuaje unatumia theory ipi wakati kuna theories kibao! Ni jukumu lako kusema utajiri wa urusi nimeu-determine Kwa kutumia theory fulani. Mie nimekupa links, toa Na wewe zako au shusha shule in details!

Kwanini nishushe shule wakati wewe unazijua theories kibao?
Again coherence huna, Umesema utajiri na umasikini ni relative.
Hebu ungeanza wewe kunielezea, theories zilizotumika ku-determine utajiri kwenye hizo link.
 
Ata me nmeshangaa asee,najiuliza kwan ni nchi gani dunia hii ni "Yes fly zone and Yes fleet zone!?"...Unajua mijitu inachangia tuu kwa fujo bila kufikiria uhalisia na maana ya hii Mada

Kwani nani kasema kuna nchi "Yes Fleet zone and Yes Fly Zone!?"
Acha kubwabwaja wewe!! Au ndiyo keyboard Diarrhoea?
 
Ni wakati wa urusi kutafuta mechi ya kirafiki sasa
BASTION SYSTEM K-300P AND ONYX MISSILE P-800 BLOCKS BARENTS AND BLACK SEA.

Nchi ya Urusi kwa sasa inajivunia mordernization ya silaha zake.

Tumeshuhudia silaha mbalimbali zikiboreshwa ikiwa ni pamoja na makombora ya kujilinda dhidi ya ndege na makombora,silaha hizo ni S 300,S 400 na S 500.

Sasa Urusi inajivunia silaha nyinginge mpya na zilizoboreshwa, za kuangamiza na kuteketeza kabisa aina yoyote ya silaha za majini, yaani meli vita na vyombo vinginevyo vipitavyo ndani ya maji,yaani meli vita,nyambizi na air craft carriers n.k

Silaha hizi ni" K-300P "Bastion system", hii ni coastal missile system with supersonic cruise missiles P-800 Onyx.

Silaha hizi zimesababisha black sea na Barents sea kuwa ni Dead zone.
Rais wa Urusi alisikika akisema kwa majivuno kabisa kuwa" hakuna nchi nyingine yeyote yenye silaha kama hii.na kua silaha hizi zimefanaya melivita za US na NATO zikome kabisa kupita katika bahari nyeusi."

P-800 ina speed ambayo rada ya kisasa kabisa haiwezi kuiona na inapita mita chache kabisa kutoka usawa wa bahari nakupiga malengo.

Msemaji mmoja wa Urusi alikaliliwa akisema "hakuna mashindano ya silaha kali, isipokua haya ni majibu ya kile kinachoendelea duniani kwa sasa.

Chanzo: Pravda english,Sputnik news,
nackia turkey nako wana no fly zone
 
W

Wewe Ndo umeprove kuwa muongo ndo maana umekuja na clarifications za belligerent vessels as opposed to all vessels, Black Sea inaishia wapi etc. Otherwise the original statement as it is inakuwa uongo!!! In fact, maelezo yako yote yanani support mimi!!!!

Wewe kweli ni Juha my friend.
Yanakusapoti kivipi wakati hata uklikuwa huzijui hizo Conventions?
Ungezijua lazima ungeweka link au majina ili Claim zako zisiwe Monotonous!

Au unataka kutuaminisha kwamba NO FLY ZONE AND NO FLEET ZONE zina apply kwenye Civilian Vessels?
Hapo haya maelezeo yanakusapoti kivipi?
Coherence Man!!!!
 
Kwanini nishushe shule wakati wewe unazijua theories kibao?
Again coherence huna, Umesema utajiri na umasikini ni relative.
Hebu ungeanza wewe kunielezea, theories zilizotumika ku-determine utajiri kwenye hizo link.
Tusipoteze lengo. Hapo juu huna argument yeyote worth addressing. Kama Mimi au Wewe mmojawapo hana coherence, let the readers decide.
 
Au unataka kutuaminisha kwamba NO FLY ZONE AND NO FLEET ZONE zina apply kwenye Civilian Vessels?
Hapo haya maelezeo yanakusapoti kivipi?
Coherence Man!!!!
Kwenye hiyo sentensi wapi wamesema hazi apply kwenye civilian vessels ?
 
Tusipoteze lengo. Hapo juu huna argument yeyote worth addressing. Kama Mimi au Wewe mmojawapo hana coherence, let the readers decide.

Kwanini wasomaji watuamulie mambo yetu wawili?
Au upo hapa kufurahisha UMMAH?
Kazi hiyo ya kuwa kikaragosi cha kufurahisha watu siwezi.
 
Kwenye hiyo sentensi wapi wamesema hazi apply kwenye civilian vessels ?

Kiingereza nacho ni kigumu au ndiyo unataka kufurahisha UMMAH?
Huwezi kusoma au ndiyo Umekurupuka tu?
You embarrass yourself even more.
 
Kwanini wasomaji watuamulie mambo yetu wawili?
Au upo hapa kufurahisha UMMAH?
Kazi hiyo ya kuwa kikaragosi cha kufurahisha watu siwezi.
ingekuwa mambo ya watu wawili si tungeandikiana barua? Haya wewe unajua kiingereza!!!
 
Kwani nani kasema kuna nchi "Yes Fleet zone and Yes Fly Zone!?"
Acha kubwabwaja wewe!! Au ndiyo keyboard Diarrhoea?
Sasa kwa nini hii habari ya Urusi iwe big deal sana humu wakat tunajua kila nchi ina utaratibu huo?
Alafu acha kupanic,tulizaakili na ujibu hoja kwa kutulia....Yaani hata upanic vip kama U.S wana uwezo wana uwezo tuu na itabaki kuwa hivyo,na kama Russia hana itabaki kuwa hivyo,Maandishi yako ya kiswahili hapa JF hayawez badili chochote zaid ya kujifariji tu na propaganda za Putinic media..Yaan propaganda za cold war era ndio mrusi anakuja nazo leo...
watu walishasahau na wako na ustaarabu mwingine kabisaa,sasa yeye wacha apige kelele,hakuna atakayemsikiliza,wacha ajitaftie cheap attention kwa kama zile za kupaa juu ya vessel ya u.s,no body cares
 
Sasa kwa nini hii habari ya Urusi iwe big deal sana humu wakat tunajua kila nchi ina utaratibu huo?
Alafu acha kupanic,tulizaakili na ujibu hoja kwa kutulia....Yaani hata upanic vip kama U.S wana uwezo wana uwezo tuu na itabaki kuwa hivyo,na kama Russia hana itabaki kuwa hivyo,Maandishi yako ya kiswahili hapa JF hayawez badili chochote zaid ya kujifariji tu na propaganda za Putinic media..Yaan propaganda za cold war era ndio mrusi anakuja nazo leo...
watu walishasahau na wako na ustaarabu mwingine kabisaa,sasa yeye wacha apige kelele,hakuna atakayemsikiliza,wacha ajitaftie cheap attention kwa kama zile za kupaa juu ya vessel ya u.s,no body cares

KEYBOARD DIARRHOEA AT ITS BEST.
Halafu dado hujajibu swali,
Nani kasema kuna nchi ni "Yes fleet zone na Yes fly zone?"
 
Elewa concept,acha kukomalia upuuzi

If your brains were a dynamite there wouldn't be enough to blow your head off.
In short wewe ni Tabula Rasa and An intellectual Doormat.
You take propaganda Bull Horns without a self objective analysis and then claim to be right.
Give me a break.

Halafu sasa
Kwanini nikujibu kwa hoja wakati huwezi kutengeneza hata hoja rahisi?
Sasa utalewaje hoja zangu kama zako tu zinakushinda?

Umeulizwa swali rahisi umeshindwa kujibu.
Halafu unajifanya umeelewa mada.
Give me a break.
 
KEYBOARD DIARRHOEA AT ITS BEST.
Halafu dado hujajibu swali,
Nani kasema kuna nchi ni "Yes fleet zone na Yes fly zone?"

Mkuu Malcom husipoteze your precious time ku reason na watu ambao wako hell bent kuleta ubishi wa kishabeki tu ambao una defy all laws of physics - baadhi ya waleta mada weledi wanazungumzia mambo ya kiufundi zaidi/sayansi/teknolojia ya uhundaji silaha za kujilida na ni wapi Mataifa haya yanazidiana kete basi, sio mambo ya ushabeki.

Badala ya kuelimishana kistaarabu na kukubaliana kutokubaliana without offending anyone, baadhi ya members wanakasirika kweli kweli na kuanza kutoa kashfa chungu nzima, yaani unaweza kufikiri vita baridi vimerudi tena na wao wanajiona ni kama ma 5star Generals - lakini ukijaribu kuwasoma between the lines wanaonekana uelewa wao wa nyanja hizi ni dismal kabisa ndio maana wanakasirika kasirika ovyo na kujaribu ku derail mada kwa kutumbukiza masuala ambayo hayana kichwa wala miguu!!

Wakumbuke hawezi kuelewa masuala haya vizuri kwa kutumia search engines za mitandaoni tu - unapashwa vile vile uwe na elimu ya ufundi/engineerig background kuelewa kinacho endelea under the hood!!!

Wakumbuke vile vile hakuna Physics/Chemistry ya Urusi, Marekani au Uchina zote zinafuata the same basic principles cha muhimu hapa ni wanasayansi/watafiti wako wanatumiaje kanuni hizo kuhunda silaha zinazo zidiana kete, ni hicho tu hakuna kinacho toka mbinguni au kufikiri Taifa moja tu Duniani ndilo lenye watafiti na wanasayansi mahili wakati hiyo si kweli hata kidogo - someni scientific journals au attend makongamano ya kisayansi ambayo hayana chembe za siasa ndio utajua ninacho sema hapa, wanasayansi karibu wote duniani wana umoja sana - mambo ya geopolitics ni secondary kwao.
 
Mkuu Malcom husipoteze your precious time ku reason na watu ambao wako hell bent kuleta ubishi wa kishabeki tu ambao una defy all laws of physics - baadhi ya waleta mada weledi wanazungumzia mambo ya kiufundi zaidi/sayansi/teknolojia ya uhundaji silaha za kujilida na ni wapi Mataifa haya yanazidiana kete basi, sio mambo ya ushabeki.

Badala ya kuelimishana kistaarabu na kukubaliana kutokubaliana without offending anyone, baadhi ya members wanakasirika kweli kweli na kuanza kutoa kashfa chungu nzima, yaani unaweza kufikiri vita baridi vimerudi tena na wao wanajiona ni kama ma 5star Generals - lakini ukijaribu kuwasoma between the lines wanaonekana uelewa wao wa nyanja hizi ni dismal kabisa ndio maana wanakasirika kasirika ovyo na kujaribu ku derail mada kwa kutumbukiza masuala ambayo hayana kichwa wala miguu!!

Wakumbuke hawezi kuelewa masuala haya vizuri kwa kutumia search engines za mitandaoni tu - unapashwa vile vile uwe na elimu ya ufundi/engineerig background kuelewa kinacho endelea under the hood!!!

Wakumbuke vile vile hakuna Physics/Chemistry ya Urusi, Marekani au Uchina zote zinafuata the same basic principles cha muhimu hapa ni wanasayansi/watafiti wako wanatumiaje kanuni hizo kuhunda silaha zinazo zidiana kete, ni hicho tu hakuna kinacho toka mbinguni au kufikiri Taifa moja tu Duniani ndilo lenye watafiti na wanasayansi mahili wakati hiyo si kweli hata kidogo - someni scientific journals au attend makongamano ya kisayansi ambayo hayana chembe za siasa ndio utajua ninacho sema hapa, wanasayansi karibu wote duniani wana umoja sana - mambo ya geopolitics ni secondary kwao.

Haahaaa leo you have made this post alive again.
Umezungumza ukweli mtupu.
Ngoja ninyamaze tu bwana.
 
Back
Top Bottom