Urusi sasa ni no fly na no fleet zone

So Urusi sasa Ni no fly zone na no fleet zone? Unaruhusiwa ushabiki ila acha uwongo wa dhahiri. Anyway, anachofanya mrusi sasa kwa wamarekani inaonyesha kuwa anatamani mechi hiyo ya kirafiki na wamarekani. Naona si muda mrefu sana atapewa hiyo nafasi.

Hebu tuambie uwongo ukwapi hapa?
 
Hebu tuambie uwongo ukwapi hapa?

Huu hapa ni uwongo "Urusi sasa Ni no fly zone na no fleet zone". Kuna ndege nyingi tu za abiria zinaenda kila dakika, na meli kibao tu toka nchi mbali mbali zinaenda bandari mbali mbali za Urusi kila siku.

Uwongo mwingine ni kwamba ati melivita za US na NATO zimekoma kabisa kupita katika bahari nyeusi. Kwani hizo Sukhoi za waruzi zilipo-buzz manowari ya marekani, hiyo manowari ilikuwa wapi?

Kuwa na ushabiki ni ruksa, ila angalau muwe mnatoa reference za habari zenu ili ziwe na credibility.
 
Haaahaaa,
Eti Urusi nchi maskini,
Yani NASA hadi leo wanaitegemea URUSI utasema ni nchi maskini kweli?
Daah huwa nasikitika sana.
Umaskini au utajiri ni relative term. Inabidi useme ni kigezo gani unatumia kusema nchi hii ni maskini au tajiri. Kwamba NASA inategemea Urusi (nafikiri unataka kusema kuhusu zile engines) haiifanyi Urusi kuwa ndo tajiri kwa hii factor alone. Hii theory kwamba kwa sababu taifa moja linategemea taifa lingine kwa product fulani, then hilo taifa lingine linakuwa tajiri, ndo naisikia toka kwako.

Sasa tuangalie how rich is Russia compare to the rest of the world!! Tukichukua kigezo cha GDP, Urusi in ya 12!! Hiki ni kigezo ambacho kinatambuliwa kimataifa. Kuna data kibao hapo ambazo unaweza kusoma na kujua utajiri wa Urusi kutokana na vigezo mbali mbali.
 
Huu hapa ni uwongo "Urusi sasa Ni no fly zone na no fleet zone". Kuna ndege nyingi tu za abiria zinaenda kila dakika, na meli kibao tu toka nchi mbali mbali zinaenda bandari mbali mbali za Urusi kila siku.

Uwongo mwingine ni kwamba ati melivita za US na NATO zimekoma kabisa kupita katika bahari nyeusi. Kwani hizo Sukhoi za waruzi zilipo-buzz manowari ya marekani, hiyo manowari ilikuwa wapi?

Kuwa na ushabiki ni ruksa, ila angalau muwe mnatoa reference za habari zenu ili ziwe na credibility.

Wewe jamaa ndye muongo sugu.
Mosi, No fly zone applies only to Belligerent Vessels.

Pili, Civil aircraft kimataifa hazitambuliki kama ni state aircrafts.

The CHICAGO CONVENTION OF 1944 on CIVIL AVIATION CONFIRMS THAT.
Article 3 of the convention reads.
Civil and state aircraft :
(a) This Convention shall be applicable only to civil aircraft, and shall not be applicable to state aircraft.
(b) Aircraft used in military, customs and police services shall be deemed to be state aircraft.
(c) No state aircraft of a contracting State shall fly over the territory of another State or land thereon without authorization by special agreement or otherwise, and in accordance with the terms thereof.
(d) The contracting States undertake, when issuing regulations for their state aircraft, that they will have due regard for the safety of navigation of civil aircraft.

Hapa Chief huna hoja. Au ndiyo mahaba niue?

Tatu, No fleet zone only applies to military vessels and not civilian vessels.
THE UNITED NATIONS CONVENTION ON THE LAW OF THE SEA of 1982, provides for THE RIGHT OF INNOCENT PASSAGE for every civilian vessel.

Article 17 of the Convention reads.
INNOCENT PASSAGE IN THE TERRITORIAL SEA SUBSECTION
A. RULES APPLICABLE TO ALL SHIPS
Article 17 Right of innocent passage Subject to this Convention, ships of all States, whether coastal or land-locked, enjoy the right of innocent passage through the territorial sea.

Huna Coherence mzee jipange upya harafu usipende kukurupuka unajidhalilisha kama hivi.

Tatu, Unauliza manowari ilikuwa wapi,
nani kasema Black Sea yote ipo Urusi?
Hizo manowari za kivita umeziona zimeingia territorial waters za URUSI?
 
Umaskini au utajiri ni relative term. Inabidi useme ni kigezo gani unatumia kusema nchi hii ni maskini au tajiri. Kwamba NASA inategemea Urusi (nafikiri unataka kusema kuhusu zile engines) haiifanyi Urusi kuwa ndo tajiri kwa hii factor alone. Hii theory kwamba kwa sababu taifa moja linategemea taifa lingine kwa product fulani, then hilo taifa lingine linakuwa tajiri, ndo naisikia toka kwako.

Sasa tuangalie how rich is Russia compare to the rest of the world!! Tukichukua kigezo cha GDP, Urusi in ya 12!! Hiki ni kigezo ambacho kinatambuliwa kimataifa. Kuna data kibao hapo ambazo unaweza kusoma na kujua utajiri wa Urusi kutokana na vigezo mbali mbali.

Kama unajua utajiri na umasikini ni relative term; kwanini usijue kwamba natumia Comparative Advantage Theory ya David Ricardo as Opposed to Absolute Advantage Theory ya Adam Smith?
Au kuna Principle nyingine ya Internatinal Trade and Finance ambayo wewe umeitunga?
 
Mkuu hawa jamaa wana hazina kubwa sana ya watu wenye akili ikiwa ni pamoja na wanasayansi,na ni watu wasiokata tamaa.kwa nchi kama Urusi inaona ni bora ijenge kwanza jesi lake baadae ndio ijenge uchumi.Kama sio hivyo Yankee watawavamia wakati wowote ili wapate ubwete wa kuitawala dunia.
Yankee
 
Mechi ya kirafiki inaendelea kule Syria.
Ki ukweli hadi sasa sielewi pale Syria nani anapigwa au nani anapigana na nani, Urusi na wenzake wanampiga nani and Saudi Arabia na wenzake wanampiga nani ?
 
awa jamaa ni noma san ktk technologia ya kijeshi,ila kati ya urusi na usa kuna vitu tu vidog wamezidian ndo maan wamewekean hadi mikataba ya kutopigan
 
urusi ni taifa kubwa san ktk dunia,wachambuz weng waliongelea kuhusu vikwazo alivyowekew urusi kuw ni lazim viwaumize wenyew EU.na kweli kilichotokea ni maumiv kw EU mpak juzi tu serikali ya ufaransa inataka kuondoa vikwazo vilivyowekw kw urusi maan bidhaa nying za ufaransa zimekosa wanunuaji
 
leo hii EU wananunua mafuta na gesi kutok urusi,wakati wao wameambiw marufuk wakulim kupelek vyakula urusi.yani wakulim wanakuf njaa huk mnazid kumpa ela tu urusi ndo maan anawaletea dharau,wao wamewek vikwazo ili crimea irudi warusi ndo kwanz wanazid kuongez siraha zao crimea
 
ukiangalia hata import ya warusi unaona kabisa ni vitu ambayo sio lazim kuingia urusi au ukivikosa inakuwa ni bonge la mtiani kweny taifa,ni vitu vya kawaida.import ya urusi ni medical packaging,computer na magari
 
BASTION SYSTEM K-300P AND ONYX MISSILE P-800 BLOCKS BARENTS AND BLACK SEA.

Nchi ya Urusi kwa sasa inajivunia mordernization ya silaha zake.

Tumeshuhudia silaha mbalimbali zikiboreshwa ikiwa ni pamoja na makombora ya kujilinda dhidi ya ndege na makombora,silaha hizo ni S 300,S 400 na S 500.

Sasa Urusi inajivunia silaha nyinginge mpya na zilizoboreshwa, za kuangamiza na kuteketeza kabisa aina yoyote ya silaha za majini, yaani meli vita na vyombo vinginevyo vipitavyo ndani ya maji,yaani meli vita,nyambizi na air craft carriers n.k

Silaha hizi ni" K-300P "Bastion system", hii ni coastal missile system with supersonic cruise missiles P-800 Onyx.

Silaha hizi zimesababisha black sea na Barents sea kuwa ni Dead zone.
Rais wa Urusi alisikika akisema kwa majivuno kabisa kuwa" hakuna nchi nyingine yeyote yenye silaha kama hii.na kua silaha hizi zimefanaya melivita za US na NATO zikome kabisa kupita katika bahari nyeusi."

P-800 ina speed ambayo rada ya kisasa kabisa haiwezi kuiona na inapita mita chache kabisa kutoka usawa wa bahari nakupiga malengo.

Msemaji mmoja wa Urusi alikaliliwa akisema "hakuna mashindano ya silaha kali, isipokua haya ni majibu ya kile kinachoendelea duniani kwa sasa.

Chanzo: Pravda english,Sputnik news,

alikaliliwa = alikaririwa
 
Back
Top Bottom