Urusi inatisha. Mpaka sasa Ukraine na NATO wanapigana na kampuni binafsi ya Kijeshi bado Urusi haijaingia vitani

Awapigie nini wakati wanaangamizwa na Kampuni binafsi? Urusi hataki vita ikwishe haraka sababu Urusi, China, North Korea, Iran wana lao Jambo. Ndio maana unaona Kiduki akirusha drones kwa jirani yake juu ya Jiji wanaziona ila hawana uwezo wa kuzidungua. Wameachana na Kinga za anga za Marekani, wanakwenda Sasa Israel.
Naona hiyo kampuni mandonga tu!
Hivi umevaa kata K halafu unatembea mtaa wa mabasha watamuacha??
Muda utasema!
 
Russia anatumia busara kubwa huku akishauriana na washirika wake wema vinginevyo NATO wajaribu kuvuka boda waone kitakacho tokea ndio watajua kwanini Warusi wanajiamini na hawatetereki na hawamwogopi yeyote duaniani

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Kama anayo busara angeitumia kabla hajawanga kijiji cha wazee wa busara!
Watamkomesha hadi Akome!
 
Katika kile kinachoonekana ni ukomavu na uwezo mkubwa Kijeshi wa Shirikisho la Russia imepelekea mataifa ya magharibi kuunda shirika la kujihami (NATO) dhidi ya Russia na mataifa mengine yenye nguvu kubwa kama China.

Kutokana na sera za Russia kutokuingilia siasa za mataifa mengine West kwa muda mrefu wamekua wakileta chokochoko dhidi ya Russia lakini Russia imekua ikitoa ilani bila kuchukua hatua yoyote ikiwa pamoja na makubaliano ya NATO kutojipenyeza karibu na mipaka ya Russia lakini West walivunja makubaliano hayo na kufikia hatua ya kuanza kuweka military base Poland karibu na Urusi.

Pia ikaanza kujipenyeza Ukraine na wakati kulikua na makubaliano kati ya Russia na Ukraine kutokaribisha West ndani ya mipaka yake lakini Comedian Zelensk alikiuka mikataba na kuwakaribisha West ndani ya ardhi yake na kuanza kuwauwa raia wenye asili ya Russia toka 2014 hadi sasa ambapo Russia iliamua kuwasaidia nakuivunja vunja Ukraine Kijeshi lengo limefanikiwa kwa 100% kwani Ukraine anategemea msaada wa kila kitu kuanzia chupi mpaka silaha toka kwa wakoloni wao West.

Kinachoogopesha zaidi kwaa muda wote huo Ukraine pamoja na NATO wanapigana na kampuni ya Kijeshi ya Russia Wagner Group na Russia bado hajaingia full scale, level ya Russia ni kupigana West yote na kuigeuza majivu ndani ya muda mfupi.

Sasa kama NATO wanatolewa kamasi na Wagner Group, Marekani akiingia vitani na Russia utakua ndio mwisho wake kaamua kukimbiza mbawa zake anaishia kutuma magobole na bado Wagner Group wanayabutua na kukamata Maeneo..

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Mkuu umeandika porojo lote hili? Jeshi la urusi liko wapi sasa? elewa kwamba hao Wagner ni jeshi la kukodi baada ya jeshi la urusi kuuliwa na kushindwa vita, jeshi la urusi lilipomalizika, walipeleka vitani wafungwa, lakini wakapeleka vijana wa kirusi wenye umri wa miaka 18 na zaidi na wengine kutoroka lakini pia wakapeleka Islamic State mamluki kutoka Syria wote wameenda na maji sasa hili kundi la Wagner ndio wanaenda kumaliza biashara ya dikteta Putin muda mduchu sana ujao,

Watu wapo kazini US wanakula mafunzo ya kutumia Patriots, hata hivyo hapo Soleder Urusi maji anaita mma hali ni ngumu sana kwao wanakula kichapo cha nguv sana
 
Katika kile kinachoonekana ni ukomavu na uwezo mkubwa Kijeshi wa Shirikisho la Russia imepelekea mataifa ya magharibi kuunda shirika la kujihami (NATO) dhidi ya Russia na mataifa mengine yenye nguvu kubwa kama China.

Kutokana na sera za Russia kutokuingilia siasa za mataifa mengine West kwa muda mrefu wamekua wakileta chokochoko dhidi ya Russia lakini Russia imekua ikitoa ilani bila kuchukua hatua yoyote ikiwa pamoja na makubaliano ya NATO kutojipenyeza karibu na mipaka ya Russia lakini West walivunja makubaliano hayo na kufikia hatua ya kuanza kuweka military base Poland karibu na Urusi.

Pia ikaanza kujipenyeza Ukraine na wakati kulikua na makubaliano kati ya Russia na Ukraine kutokaribisha West ndani ya mipaka yake lakini Comedian Zelensk alikiuka mikataba na kuwakaribisha West ndani ya ardhi yake na kuanza kuwauwa raia wenye asili ya Russia toka 2014 hadi sasa ambapo Russia iliamua kuwasaidia nakuivunja vunja Ukraine Kijeshi lengo limefanikiwa kwa 100% kwani Ukraine anategemea msaada wa kila kitu kuanzia chupi mpaka silaha toka kwa wakoloni wao West.

Kinachoogopesha zaidi kwaa muda wote huo Ukraine pamoja na NATO wanapigana na kampuni ya Kijeshi ya Russia Wagner Group na Russia bado hajaingia full scale, level ya Russia ni kupigana West yote na kuigeuza majivu ndani ya muda mfupi.

Sasa kama NATO wanatolewa kamasi na Wagner Group, Marekani akiingia vitani na Russia utakua ndio mwisho wake kaamua kukimbiza mbawa zake anaishia kutuma magobole na bado Wagner Group wanayabutua na kukamata Maeneo..

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Unamdanganya nani fala wewe?

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu umeandika porojo lote hili? Jeshi la urusi liko wapi sasa? elewa kwamba hao Wagner ni jeshi la kukodi baada ya jeshi la urusi kuuliwa na kushindwa vita, jeshi la urusi lilipomalizika, walipeleka vitani wafungwa, lakini wakapeleka vijana wa kirusi wenye umri wa miaka 18 na zaidi na wengine kutoroka lakini pia wakapeleka Islamic State mamluki kutoka Syria wote wameenda na maji sasa hili kundi la Wagner ndio wanaenda kumaliza biashara ya dikteta Putin muda mduchu sana ujao,

Watu wapo kazini US wanakula mafunzo ya kutumia Patriots, hata hivyo hapo Soleder Urusi maji anaita mma hali ni ngumu sana kwao wanakula kichapo cha nguv sana
Soledar
 
Ha
Katika kile kinachoonekana ni ukomavu na uwezo mkubwa Kijeshi wa Shirikisho la Russia imepelekea mataifa ya magharibi kuunda shirika la kujihami (NATO) dhidi ya Russia na mataifa mengine yenye nguvu kubwa kama China.

Kutokana na sera za Russia kutokuingilia siasa za mataifa mengine West kwa muda mrefu wamekua wakileta chokochoko dhidi ya Russia lakini Russia imekua ikitoa ilani bila kuchukua hatua yoyote ikiwa pamoja na makubaliano ya NATO kutojipenyeza karibu na mipaka ya Russia lakini West walivunja makubaliano hayo na kufikia hatua ya kuanza kuweka military base Poland karibu na Urusi.

Pia ikaanza kujipenyeza Ukraine na wakati kulikua na makubaliano kati ya Russia na Ukraine kutokaribisha West ndani ya mipaka yake lakini Comedian Zelensk alikiuka mikataba na kuwakaribisha West ndani ya ardhi yake na kuanza kuwauwa raia wenye asili ya Russia toka 2014 hadi sasa ambapo Russia iliamua kuwasaidia nakuivunja vunja Ukraine Kijeshi lengo limefanikiwa kwa 100% kwani Ukraine anategemea msaada wa kila kitu kuanzia chupi mpaka silaha toka kwa wakoloni wao West.

Kinachoogopesha zaidi kwaa muda wote huo Ukraine pamoja na NATO wanapigana na kampuni ya Kijeshi ya Russia Wagner Group na Russia bado hajaingia full scale, level ya Russia ni kupigana West yote na kuigeuza majivu ndani ya muda mfupi.

Sasa kama NATO wanatolewa kamasi na Wagner Group, Marekani akiingia vitani na Russia utakua ndio mwisho wake kaamua kukimbiza mbawa zake anaishia kutuma magobole na bado Wagner Group wanayabutua na kukamata Maeneo..

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Hujui hata ulichokiandika
 
Back
Top Bottom