William Mshumbusi
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 1,657
- 2,252
Hawa wanamafuta ya kutosha na hawana haja ya kutafuta ya Tz.
Kama kueneza dini
kumbuka bwana mkubwa uwa anazunguka kusaka dili. Labda kapata hilo lakuiuzia iran urenium ili waunde nyukria. Nilisikia dili la mitambo ya nyukria ya umeme bongo.
Sina hakika lakini tufikirie tuone
Kama kueneza dini
kumbuka bwana mkubwa uwa anazunguka kusaka dili. Labda kapata hilo lakuiuzia iran urenium ili waunde nyukria. Nilisikia dili la mitambo ya nyukria ya umeme bongo.
Sina hakika lakini tufikirie tuone