Mwaikibaki
JF-Expert Member
- Mar 19, 2015
- 2,975
- 3,624
Wadau,
Naandika haya kutokana na kutoelewa kinachoendelea kwa baadhi ya maeneo ambapo zoezi la ku renew leseni za udereva hua linafanyika pale inapohitajika.Imefika wakati unaaambiwa usubiri mpaka miezi 4 ndio leseni yako iwe printed.
Hii imenikuta Dodoma na pia mikoa ya kusini...baada ya kuuliza wahusika wanasema mashine zinasumbua.
Ushauri:
Kama mashine zimechoka ni vema mkafanyia matengenezo makubwa..ingawa mnabana cost ili kupata faida ila haileti maana printing tu ya leseni ichukue miezi kadhaa...
Naandika haya kutokana na kutoelewa kinachoendelea kwa baadhi ya maeneo ambapo zoezi la ku renew leseni za udereva hua linafanyika pale inapohitajika.Imefika wakati unaaambiwa usubiri mpaka miezi 4 ndio leseni yako iwe printed.
Hii imenikuta Dodoma na pia mikoa ya kusini...baada ya kuuliza wahusika wanasema mashine zinasumbua.
Ushauri:
Kama mashine zimechoka ni vema mkafanyia matengenezo makubwa..ingawa mnabana cost ili kupata faida ila haileti maana printing tu ya leseni ichukue miezi kadhaa...