Uranium Mining Projects In Tanzania: Progress...

Soon I may join to work in one of uranium mines somewhere in this world.

Your concern is good and appreciated, uchimbaji wa uranium siyo tatizo kabisa.Tatizo linaloisumbua TZ ni sheria ,sheria ya madini ni poor, waste disposal regulations ni poor.

Na wasiwasi wangu ni kuwa sijaona viongozi wakali wa kusimamia maslahi ya taifa.

Nchi ya Canada wanajaribu sana kuwa na "Canada's Radioactive Waste Management Program" ambayo imepelea kuwa na waste disposal kubwa sana AECL, na wana mpango wa kujenga nyingine nyingi, hizio disposala zinaanzia kuanzia mita 1000, (zamani walikuwa wanaanzia mita 500) kwenda chini. Cnada wanaproduce 60% percent of world's supply. Lakini bado wamekuwa wanalalamikiwa kuwa thye are using poor technolog na safety ya wafanyakazi iko chini!JE TANZANIA??? wakati nchi kama Khazakistan wanasifika kuwa they are doing well in nuclear mines! kwa hiyo hapa ni sheria

Pamoja na hayo walikuwa na surface waste disposal, ambazo zimewagharimu mno maana ni gharama sana, at the same time, zile za undeground inabidi ziwekwa mahali ambako mna hakika source ya water haitawafikia binadamu.



Current research ambazo hata mimi nina zisupport ni kuwa , mines zote za nuclear ziwe undeground, pili processing plant iwe undeground, tatu waste disposal iwe undeground, nne plant za umeme ziwe undeground

Pale tutakaporuhusu uranium kumove from one place to another katika surface ndiyo tutaleta shida zote na athari zote za uranium duniani.

Hawa wawekezaji hela wanazo tukiwawekea sheria kali watazifuata, tukiwachekea watavuna na kuondoka

Hivyo basi , there is no rush in it, kama exploration zinafanyika , means serikali imekubali na hawa jamaa watafanya tu watakavyo

Fo future na vizazi vijavyo uranium inaweza kututoa, lakini inahitaji kiongozi anayewaona watanzania na kuwa kipofu kwa wawekezaji.

iteleta umeme wa kudumu, katika dunia ya global warming, kuna kipindi maji yatapungua sana, hivyo uranium itahitajika sana kwenye production za umeme. Canada wana reserve kubwa ya maji na wanataka iwe hivyo, so issue za global warming kwa wanaona zitawaathiri kwenye mambo mengine lakini siyo maji.

Sijaona, na halijawa wazi swala zima la uranium, so kama kawaida we have experience from previous dubious contracts so, hata hii yatakuwa yaleyale.

Mimi siyo mtaalamu wa hayo, pengine nikashafanya kazi kwenye hii migodi I may say something.

tuamke

waberoya
 
Jamani, nasikia tunayo madini ya urenium mengi hapa, haswa kule kusini mbinga. along lake nyasa. hii inawezekana kwetu, kwasababu tunatengeneza umeme, hatutengenezi silaha. silaha hatutakuja tutengeneze za nuke hapa tz kwasababu western countries hawawezi kukubali because of the great lakes conflicts. sisi tutatengeneza ule wa umeme. south africa wanatumia nuke energy. vinu walivyobomboa vilikuwa vya silaha walizokuwa wanalimbikiza ili kujilinda na kina nyeerere na wapigania haki wengi waliokuwa wanapinga apartheid. lakini kwasaba south wanatumia tu na ndio umeme mwingi huko unatokana na hilo. sisi tunashindwa nini? kama kuanzisha sisi tuanzishe tu, kama wakikataa mbele kwa mbele. watu wasiwe mabogasi kila siku kuogopa kuanzisha vitu ati kuwaogopa westerners. huo ni utumwa.
 
..acheni ndoto za mchana,bei ya chini kabisa ya kinu cha Nuclear ni one billion na hakuna nchi inayoweza kutuuzia hiyo technology hata tufanye nini maana hakuna interest yeyote,na security kwa nuclear power kwa nchi kama yetu ni sababu tosha kuzuiwa kuwa na hicho kinu..kwanini tunataka nuclear wakati hata technology ya diesel au wind hatuwezi mpaka tusaidiwe? hizi ndoto naomba tuache maana hazitusaidii chochote zaidi ya kuonekana malimbukeni tuu
 
We wacha tu ,ukiwauliza watakwambia hakuna kitu kama hicho ,wakati kuna miradi kumina moja ya Uranium hapa Tz ,ila jamaa wanaondoka na vipolo kwenda kuchunguza kama ndio yenyewe au ni rangi tu zimefanana. Na wengine wanasema haina bei,Jamani uingereza ni ndogo kwa ukubwa ,Tz ni kubwa mara nne ya Uk ,hivi ikiwa wao wana tatizo la kutupa makapi,kwa Tanzania sioni ugumu huo,hao hapo Uganda wanaondoka kwa gia ndogo kabisa na wameshakuwa na matumaini ya uhakika kuwa nishati ya nuke itatumika kuwapatia umeme wameshachoka kuamka na kuvuta moshi wa vibatali na kuamka na masharubu kwenye matundu ya pua.

Ila mafisadi wetu hawatapenda hata kuisikia nishati hiyo,CCM lazima iondoke kwenye madaraka ili kupisha wengine ambao kasi na nguvu zao itakuwa kaa chonjo saa mbaya tena tumechelewa.
 
China may help Zanzibar build nuclear power plant

Feb. 24, 2009 (China Knowledge) - China Guangdong Nuclear Power Group (CGNPG), one of China's two major nuclear power plant operators, recently signed a letter of intent with Zanzibar's main power company to help construct its first nuclear power project, said CGNPG on Tuesday on its website. The plant will be situated in Tunguu, a southern coastal in Zanzibar.

Zanzibar said China will help build one nuclear power plant in the energy-starved Muslim nation, tightening its bonds with Beijing.The nuclear agreement was among a dozen economic cooperation accords signed during China's president recent visit to Zanzibar,however, Ministry spokesman Qin Gang said Thursday that China, which signed the NPT in the 1990s, was willing to continue helping Zanzibar with its nuclear programs dreams — provided they are peaceful, in line with its international commitments and agreed to be supervised by the IAEA.

Faced with an energy crunch resulting from fast economic growth, Zanzibar plans to have 40 million kw of installed nuclear capacity by 2020.
 
Sasa hata umeme wa TANESCO wameshindwa kulipa je wataweza kugharamia Nyulklia??

Hadi leo ukisoma dossier ya Dr. Rashid Viswani wanalipia kidogo sana.. eti walidhani kulipia gharama za kuweka waya za baharini miaka hiyo ndo wamelipia ummeme!

Walipe kwanza deni la TANESCO na waache kubebwa na bara ktk umeme ndo wafikirie Nyuklia!
 
We wacha tu ,ukiwauliza watakwambia hakuna kitu kama hicho ,wakati kuna miradi kumina moja ya Uranium hapa Tz ,ila jamaa wanaondoka na vipolo kwenda kuchunguza kama ndio yenyewe au ni rangi tu zimefanana. Na wengine wanasema haina bei,Jamani uingereza ni ndogo kwa ukubwa ,Tz ni kubwa mara nne ya Uk ,hivi ikiwa wao wana tatizo la kutupa makapi,kwa Tanzania sioni ugumu huo,hao hapo Uganda wanaondoka kwa gia ndogo kabisa na wameshakuwa na matumaini ya uhakika kuwa nishati ya nuke itatumika kuwapatia umeme wameshachoka kuamka na kuvuta moshi wa vibatali na kuamka na masharubu kwenye matundu ya pua.

Ila mafisadi wetu hawatapenda hata kuisikia nishati hiyo,CCM lazima iondoke kwenye madaraka ili kupisha wengine ambao kasi na nguvu zao itakuwa kaa chonjo saa mbaya tena tumechelewa.

....kuwa na uranium sio sababu au uwezo wa kuwa na nuclear power plant,it takes more than uranium kuwa na hiyo power plant,hivi nani mwenye akili nzuri anaweza kuiuzia Tanzania hiyo technology? ugandans naona wanapiga story kujifurahisha tuu lakini will never see nuclear technology nchini kwao labda miujiza itokee
 
Sasa hata umeme wa TANESCO wameshindwa kulipa je wataweza kugharamia Nyulklia??

Hadi leo ukisoma dossier ya Dr. Rashid Viswani wanalipia kidogo sana.. eti walidhani kulipia gharama za kuweka waya za baharini miaka hiyo ndo wamelipia ummeme!

Walipe kwanza deni la TANESCO na waache kubebwa na bara ktk umeme ndo wafikirie Nyuklia!

Toka lini wezi wakalipana ?
 
Watanzania kulazimisha mambo!

makaa ya mawe, maji, upepo, gesi---hizi ndio saizi zetu, ufisadi fisadi kwenye hivi vitu, je ikija nuclear fisadi mmoja akikasirika sdi tutalipuana humu!!!!

I am not joking, mimi ni mtaalam wa nuclear, TANSECO ife, system mpya ziundwe, ndio tuwaze haya!!!!

duh!! hawa makatibu kata wa Kikwete!
 
Jamani, nasikia tunayo madini ya urenium mengi hapa, haswa kule kusini mbinga. along lake nyasa. hii inawezekana kwetu, kwasababu tunatengeneza umeme, hatutengenezi silaha. silaha hatutakuja tutengeneze za nuke hapa tz kwasababu western countries hawawezi kukubali because of the great lakes conflicts. sisi tutatengeneza ule wa umeme. south africa wanatumia nuke energy. vinu walivyobomboa vilikuwa vya silaha walizokuwa wanalimbikiza ili kujilinda na kina nyeerere na wapigania haki wengi waliokuwa wanapinga apartheid. lakini kwasaba south wanatumia tu na ndio umeme mwingi huko unatokana na hilo. sisi tunashindwa nini? kama kuanzisha sisi tuanzishe tu, kama wakikataa mbele kwa mbele. watu wasiwe mabogasi kila siku kuogopa kuanzisha vitu ati kuwaogopa westerners. huo ni utumwa.


Ubungoubungo,

Umeweza kuondoa ile mind set ya wengi kuwa na woga big UP!

Kuna kampuni ambayo imeruhusiwa kufanya hivyo...

"The US government has licensed the technology to Hyperion, a New Mexico-based company which said last week that it has taken its first firm orders and plans to start mass production within five years. 'Our goal is to generate electricity for 10 cents a kilowatt hour anywhere in the world,' said John Deal, chief executive of Hyperion. 'They will cost approximately $25m [£16m] each. For a community with 10,000 households, that is a very affordable $2,500 per home.'"


Na kuhusu hiyo urenium, kama tunayo, kwanini tusiwe na deal ambayo tutawapa au kuwaruhusu wachimbe iwapo watatupunguzia bei ya hiyo mitambo au hata bei ya generation?

Mie naona tunaweza kufikiria!
Asante
 
Watanzania kulazimisha mambo!

makaa ya mawe, maji, upepo, gesi---hizi ndio saizi zetu, ufisadi fisadi kwenye hivi vitu, je ikija nuclear fisadi mmoja akikasirika sdi tutalipuana humu!!!!

I am not joking, mimi ni mtaalam wa nuclear, TANSECO ife, system mpya ziundwe, ndio tuwaze haya!!!!

duh!! hawa makatibu kata wa Kikwete!

Waberoya,

Hakuna mtu anayetaka kulazimisha mambo!

Tanzania kama nchi yenye rasilimali nyingi, sioni sababu ya kwanini hatuwezi kufikiria mbele.

Mafisadi wapo tangu enzi watakuwepo-ila sijui fisadi ambaye anataka ajilipue; atakosa huo mshiko.

Joke aside, nafikiri utaalam wako kwenye hiyo taaluma utakuwa ni kitu kizuri huko mbeleni-tutakutegemea, lakini hiyo ya kutia woga watu isiwepo-tujadiliane, tufikirie kama hili lawezekana 'NYUKI'

Asante
 
....kuwa na uranium sio sababu au uwezo wa kuwa na nuclear power plant,it takes more than uranium kuwa na hiyo power plant,hivi nani mwenye akili nzuri anaweza kuiuzia Tanzania hiyo technology? ugandans naona wanapiga story kujifurahisha tuu lakini will never see nuclear technology nchini kwao labda miujiza itokee

Mkuu Koba,

Kweli kuwa na Uranium sio sababu au uwezo wa kuwa na Nuclear power plant! Naafiki na wewe hapa!

Lakini wapo wenye akili nzuri ambao wanaweza kutuuzia, ukiangalia link ya hapo juu utaona sasa linawezekana!

Katika maisha huwa tuanajiambia kuwa mambo yatakuwa safi tu 'Tunajifurahisha' yaani tunakuwa optimistic!

Pale miujiza inapotokea huwa tunashukuru na kukubali kuwa kweli ndoto zaweza kuwa kweli!

Asante
 
Wanajamii/Wananchi,

Historia ya nchi yetu inajieleza yenyewe. We are peaceful!

Sioni ni sababu gani tunakuwa na woga wa kusonga mbele! Kufikiria mbele, kila siku nikiangalia sass hivi kutoka katika vyombo vya habari ni ufisadi ni jinsi gani tunavyoibiwa,danganywa mpaka tunakosa hata umeme wa kusoma hizo contracts- Ni Ufisadi ambao haueleweki.

Hapa kwenye mjadala huu hatuzungumzii ufisadi ila 'NYUKI' na kama tunaweza hata kufikiria kama tunaweza kutumia nishati hiyo. Tunajua madhara yake-radiation na hata majitu ya kujilipua-Sisi watanzania hatutaki hayo, tusikubali.

Miaka inayokuja kuna umuhimu wakuendeleza kupanua wigo la miundombinu, ni lazima, na ulazima huu, unatufanya tufikirie mbele na jinsi tutakavyoweza pata nishati ya kufanya hivyo; Kwa jinsi mambo yanavyoenda(ufisadi na nini-haya yanakwamisha) pamoja na kukuwa kwa teknolojia ya 'Nyuki' sioni sababu ya kutokufikiria 'NYUKI' kwa sababu nyingine tu, kuwa haya yatatuendeleza.


Asante
 
I remember kwenye another defunct forum hii issue ilikuwa raised - jamaa mmoja kule aliuliza swali zuri sana: Iwapo hatuwezi kushughulikia takataka za nyumbani (household garbage, etc), utapishi wa vyoo etc etc how the hell are we going to take care of nuclear waste??

Kama mdau hapo juu alivyosema rasilimali saizi yetu zipo tayari and I think we need a resthink of some kind.

1. HEP ipo na ndio tunayoitegemea sasa; kufanikisha we need good rains, absence of cattle at the source of the big rivers e.g. Ihefu, bonde la Usangu, maintenance of existing mitambo/infrastructure etc. Newr sites like Stiglers Gorge can produce upwards of 3000MW*

2. Natural Gas: our next best thing so far; Mtwara Lindi already connected to that gas to electricity program thru Artumas. Effort should be done to electrify the Mtwara Corridor going into Tandahimba, Newala, Masasi, Ndanda, Tunduru, Namtumbo Songea, Peramiho, Kigonsera, Mbinga all the way to Mbamba Bay. Going up the way towards Dar won't be a bad idea, too.

3. Makaa ya mawe Liganga/Mchuchuma/Kiwira: abundance of coal is almost a blessing despite its effects on the ozone layer. But a solution is there as paying 33% more for a "cleaner" coal plant is worth it!

4. Other alternative energies, wind, solar, bio-fuels, etc: Wind is the one that is receiving a lot of chatter right about now, and supposedly we have tons of it in numerous places e.g. Mombo/Same corridor, and another thread says Mwakyembe is involved in a company that is in Makambako and Singida for trials. Up there in Tanga gentleman by the name of Shamte is producing electricity from the sisal remains, the waste product is excellent fertilizer! He said that when fully operational it can produce upwards of 17 megawatts*, enough to power the whole of Tanga, Kilimanjaro and Arusha.

NOTE: * not sure which one is commonly used, kilowatts or megawats - forgive me but I hope you get my point.
 
Sasa hata umeme wa TANESCO wameshindwa kulipa je wataweza kugharamia Nyulklia??

Hadi leo ukisoma dossier ya Dr. Rashid Viswani wanalipia kidogo sana.. eti walidhani kulipia gharama za kuweka waya za baharini miaka hiyo ndo wamelipia ummeme!

Walipe kwanza deni la TANESCO na waache kubebwa na bara ktk umeme ndo wafikirie Nyuklia!

Wewe mbona ukaka mchoyo? Usiwe na wasiwasi kwa mwendo wao wa kizenji usiabike bure mtatengeneza wenu (Tanganyika) wakati wao hata site hawajatayarisha pengine kamati kuu ya CCM bado haijaupitisha.
Umeshaambiwa watasaidiwa na hawa Wachina wanawaelewa vizuri Zenji sasa kiherehere cha nini? Walikwishasema mara nyingi kuwa hamuwatakii mema na kama unaamini hawawwezi kulipa yako si macho tu au umewahi kuambiwa ndani ya Bunge kuwa kuna deni mliwalipia? Kaka wengine kwa ndugu zao............mh! Lakini yote anayataka MWIBA watu wengine hawaliziwi nyau.
 
China may help Zanzibar build nuclear power plant

Feb. 24, 2009 (China Knowledge) - China Guangdong Nuclear Power Group (CGNPG), one of China's two major nuclear power plant operators, recently signed a letter of intent with Zanzibar's main power company to help construct its first nuclear power project, said CGNPG on Tuesday on its website. The plant will be situated in Tunguu, a southern coastal in Zanzibar.

Zanzibar said China will help build one nuclear power plant in the energy-starved Muslim nation, tightening its bonds with Beijing.The nuclear agreement was among a dozen economic cooperation accords signed during China's president recent visit to Zanzibar,however, Ministry spokesman Qin Gang said Thursday that China, which signed the NPT in the 1990s, was willing to continue helping Zanzibar with its nuclear programs dreams — provided they are peaceful, in line with its international commitments and agreed to be supervised by the IAEA.

Faced with an energy crunch resulting from fast economic growth, Zanzibar plans to have 40 million kw of installed nuclear capacity by 2020.
kwa nini wasitupe silaha kabisa halafu muone ,kwanza tunazielekeza huko huko, mliko, mtakoma kutuchonganisha
 
Back
Top Bottom