Kimetah
JF-Expert Member
- May 8, 2013
- 1,049
- 188
Baada ya kusubiri kwa mda mrefu kusikiliza watangaza nia ndani ya chadema,nimeona watu maalum tu ndio wameweka nia. Mpk jana ni
1. Lissu
2. Msigwa
3. Nyalandu.
Inavyoonekana ni kale ka kamati cha ruzuku ndio wanatangaza. Huo utoto ni mkubwa katika kujenga demokrasia waliyokuwa wapigiwa kelel kuwa mbona haikuwepo toka 2010.
Yapi maoni yako?
1. Lissu
2. Msigwa
3. Nyalandu.
Inavyoonekana ni kale ka kamati cha ruzuku ndio wanatangaza. Huo utoto ni mkubwa katika kujenga demokrasia waliyokuwa wapigiwa kelel kuwa mbona haikuwepo toka 2010.
Yapi maoni yako?